Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 679
- 870
DRC ameshinda michezo mitano mfululizo bila kuruhusu nyavu zake kutikiswa.
Pole Taifa Stars..Pole nchi yangu.Poleni wachezaji. Hongera DRC.
Wabongo tujifunze sasa kukubali matokeo bila kutoa matusi. Hivi kwanza unamtukana nani, unamlalamikia nani..umemlipa nani.
Aiseee asiyekubali aende akacheze yeye. Nasimama na Taifa Stars in both, hard and good times kama Nicholaus almaarufu kama Bongo zozo.
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Pole Taifa Stars..Pole nchi yangu.Poleni wachezaji. Hongera DRC.
Wabongo tujifunze sasa kukubali matokeo bila kutoa matusi. Hivi kwanza unamtukana nani, unamlalamikia nani..umemlipa nani.
Aiseee asiyekubali aende akacheze yeye. Nasimama na Taifa Stars in both, hard and good times kama Nicholaus almaarufu kama Bongo zozo.
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024