DR Congo: Takriban watu 20 wafariki dunia baada ya boti kushika moto bandarini

DR Congo: Takriban watu 20 wafariki dunia baada ya boti kushika moto bandarini

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Takriban watu 20 wamefariki dunia na wengine 11 kuungua vibaya baada ya Boti kushika moto kwenye Bandari ya Ngafura iliyopo Mto Kongo. Imeelezwa, Boti hiyo ilikuwa na idadi kubwa ya bidhaa zenye kuwaka moto

Serikali Nchini humo imepiga marufuku abiria kupanda boti za mizigo lakini Wananchi wengi wanazitumia kwa safari za mbali kutokana na miundombinu duni ya barabara

=======

At least 20 people have been reported dead and 11 others severely burnt after a vessel caught fire at a port on the Congo River, in DR Congo.

Interior Minister, Didier Tenge, told a local radio station that the Sunday accident happened around 13:00 local time at the Ngafura Port, in the outskirts of the capital, Kinshasa.

The vessel was loaded with flammable products and was heading upstream to Équateur province, according to Papy Epiana, a member of the local provincial assembly.

Boarding of cargo vessels by passengers in prohibited in the country, Mr Tenge said.

The injured are being treated at a nearby hospital with third degree burns.

Many people use boats to travel long distances in DR Congo because of its poor road network.

Passengers have to wait for days, sometimes weeks before finding a vessel to travel on the Congo River and its tributaries.

Deadly boat accidents are common because of overcrowding.

Recently, at least 55 people were killed when an overloaded boat sank on the Congo River in the northern Mongala province.

Source: BBC
 
Back
Top Bottom