Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Mtayarishaji Mkongwe wa Muziki wa HipHop na Rapa, Andre Young a.k.a Dr. Dre amefunguliwa kesi ya madai ya Fidia ya Dola Milioni 10 (takriban Tsh. Bilioni 27.2) akidaiwa kumfanyia Vitisho na Unyanyasaji aliyekuwa Mshauri na Msuluhishi wa Ndoa yake.
Dkt. Charles J. Sophy amedai mwaka 2018, Dre alianza kumtumia Jumbe za vitisho, vurugu, na maneno ya chuki usiku ikiwa ni baada ya kumsaidia kusuluhisha migogoro iliyokuwepo kati ya Dre na Nicole aliyekuwa Mke wake, kabla hawajapeana talaka.
Ndoa ya wawili hao ilivunjika rasmi Desemba 2021 baada ya Nicole kufungua Kesi ya kudai Talaka mwaka 2020 ikiwa ni miaka 24 tangu walipooana. Nicole alimtuhumu Dre kwa unyanyasaji na kutaka malipo ya zaidi ya Tsh. Bilioni 200.
=========
Dr. Dre is facing a $10 million (£7.7 million) lawsuit accusing him of a "malicious campaign of harassment".
The suit has been filed by a psychiatrist who served as a marriage counsellor and mediator for the rapper and his ex-wife before and during their divorce.
In a case filed in a Los Angeles court and reported by Billboard, Dr Charles J Sophy claimed Dre (real name Andre Young) had subjected him to an "ongoing barrage of threats" after he had "worked diligently" to help him resolve his disputes with his then-wife, Nicole Young.
"Rather than treating the mediation process as an opportunity for healing, (Dre) decided to take his frustrations about the mediation out on Dr Sophy - frustrations that manifested themselves in the form of a nearly year-long sustained campaign of late-night texts, threats of intimidation and violence, and homophobic rhetoric," wrote the doctor's lawyer, Christopher Frost.
The lawsuit seeks a restraining order against further harassment, as well as monetary damages that the accuser's attorneys say should total at least $10 million (£7.7 million). Dre is yet to comment on the accusations.
Young filed for divorce from Dre in 2020 after 24 years of marriage, citing allegations of abusive behaviour that Dre vehemently denied. After another 18 months of legal wrangling, the couple finalised their divorce in December 2021 with a $100 million (£77 million) settlement.