mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Namfahamu George,sasa ni mbunge anawakilisha tanzania Africa Mashariki.Niliposikia ana Phd nilishangaa!Wana JF mnajua amepata toka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namfahamu George,sasa ni mbunge anawakilisha tanzania Africa Mashariki.Niliposikia ana Phd nilishangaa!Wana JF mnajua amepata toka wapi?
Wewe hujui jinsi jamaa wa SISIEM wanavyopenda kuitwa madokta kwa PhD feki. PhD yake ni kama ile ya Kamala, Nchimbi, Nagu etc. Pay a few quids and get it with no sweat.