Wewe hujui jinsi jamaa wa SISIEM wanavyopenda kuitwa madokta kwa PhD feki. PhD yake ni kama ile ya Kamala, Nchimbi, Nagu etc. Pay a few quids and get it with no sweat.
Wewe hujui jinsi jamaa wa SISIEM wanavyopenda kuitwa madokta kwa PhD feki. PhD yake ni kama ile ya Kamala, Nchimbi, Nagu etc. Pay a few quids and get it with no sweat.
Huyu nae ni kilaza kama wana CCM wenzie kweye quotation hapo juu. Ilibidi atafute PH.D fake kabla ya kugombea ubunge wa Afrika Mashariki kwani alijua angepambana na wasomi walioiva; lakini kwa vile CCm ni chama cha mafisadi wabunge wao wakawachagua watu wenye degree fake yeye na mwingine aitwae Masaburi[ nae PH.D Fake] ndio wanaotuwakilisha kwenye bunge la Afrika Mashariki.