Dr. Hildebrand Shayo

Kichuguu. LOL. NN, dont shoot me.
My question is, what is the common trend between these two?
Namjua Emeagweli miaka 10 sasa. Ni muda mrefu kutosha kujua how fake he is.
The link was sarcasm......
If you are a fake, eventually it comes out!
 
Heheeeee. Najua sana alifeli PhD. LOL.
You dont get my point do you??

Hahahaaa...okay, I got you now. Ndio maana niliuliza rhetorically kama ulikuwa unatania au la...

Na una bahati Raj Patel hajaingia hapa leo maana angekuchinja...lol
 
Naona mpo kwenye boat moja mnaelekea Australia...😀

you could assist him so long he said the problem might be with him,
Anyway you can't believe me that I laughed till tears the way you put your contribution on the matter.
 
Wanajamii sio namponmgeza masanilo kwa uchambuzi wake wa Dk. Shayo, naanza kupata wasiwasi na kazi yake alijuaje mpaka pasi za mtu na ailivyotoka na kuingia nchini kwa muda gani na mpaka pasi ikaisha akapewa nyingine.mmmmm haya yawezekana uliyeuliza habari za Dk. Shayo habari za wewe na mkeo jana usiku Masanilo anazo alipataje sio swali kwakuwa wewe wapenda kujua za wenzako.

Maoni yangu. Usihitimisha mtu tafsiri ya mtu kwa jinsi ulivyomwona, tafiti zaidi ya hapo, kuona makosa kwenye makala ya mtu wengine tunaona ni labda haijapitiwa na mwingine. Ni kanuni ya kawaida ya Editing(Uhariri) kila ukiandika lazima ipitiwe na mtu mwenyewe huwezi kujua makosa yako. Kama siyo editing kazi zetu waandishi msingezisoma kesho yake maana makosa kibao.kwahiyo msimhukumu Shayo labda aliandika haraka.
 
conclusion? Does he have the PhD? Enlighten me please!:doh::nono:
 
Sasa naona kuna watu wamekosa cha kusema, acheni chuki binafsi. Dr. Shayo ni mtaalamu aliyebobea, alirejea nchini mwaka jana akapewa usenior lecturer pale Open University, sasa hivi ameondoka na kama sijakosea yupo na international organization moja.

Nadhani tatizo ni mwandishi wa hii habari na siyo Dr. Shayo ninaye mjua
 
Jibu ni LSBU (London South Bank University), chuo kihiyo alichosomea

Times Higher Education - London South Bank University - Poor ranking prompts attack
Ukifika kwenye hichi chuo utafikiri upo Lagos kwa jinsi Wanageria walivyo wengi. Na unajua wapopo wakishajazana sehemu wanaaribu kwa sababu ya kupenda shortcut.

Wanafunzi wengi ambao hawataki kusoma wanakipenda,anafanya kazi zake mbili au tatu kwa siku mwisho anapata cheti chake lakini kichwa kunakuwa hakuna kitu na chuo nao wanapata pesa yao kutoka gov.

Ni bora mara mia kusoma Tumain University
 
Jibu ni LSBU (London South Bank University), chuo kihiyo alichosomea

Times Higher Education - London South Bank University - Poor ranking prompts attack

Duh..this is serious..nadhani kwa vijana wenzangu kabla hamjafunga safari ya kwenda ulaya..tafadhali angalieni vyuo mnavyoenda kusoma. Muulizeni hata google. Sifa za Chuo na ranking....tusijidanganye..hizi ranking zina umuhimu wake na kikubwa zaidi you have to get value for your money..after all hiyo elimu unailipia si ya bure. SISEMI kila mtu aende Imperial, LSE, Cambridge au Oxford..lakini hata ukienda chuo low ranked..angalia sifa yake...kwa sababu mwajiri na yeye anataka mtu aliyeenda shule ya maana kuongeza productivity yake na image yake. Hivi mfano ukiangalia office ukaona MD ana PhD ya Harvard..Naamini hata kama ulikuwa huna mpango wa kuomba kazi hapo..itakufanya ufikirie mara mbili...So please be careful. Haina maana kulipa mihela yote hiyo..na sifa za chuo ndo hizo.

Sasa ndugu zetu akina Shayo wanasahau kwamba tunaishi ulimwengu wa google na facebook!
 
jamaa inaelekea ni kiboko

kampiga mkwara michuzi akaifuta ile post kwenye blog yake

JF nako kaja lakini thread ikachakachuliwa na Invisible

kazi kweli kweli

yaani huu ufisadi ishakomaa kwenye mishipa ya damu

next time hata msihangaike kutaka kumuexpose Nchimbi
 
nauliza usomi wa mtu ni nini? kingereza kama cha Pundit(kigumu) au material anayomwaga?

Utamwagaje material wakati umwagaji unakatikakatika na kupindapinda (KU-PM PM)?
 
funny...

this country kila mtu ni powerful, hata Nchimbi!!!
 
funny...

this country kila mtu ni powerful, hata Nchimbi!!!

Wacheni kumsingizia Invisible .... .... ... nasikia kaenda Loliondo kupata kikombe cha Babu. Wapo Mods ambao wamejazana humu kazi yao ni kuhamisha au kufuta post yaani kama habari wao hawaifahamu basi wanaiondoa ... ... na wengi wao ni kama Dr. Shayo .. ... ooops sio dakitari wapo kama Shayo khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Huyu nae alikuwa anagombea ubunge wa Afrika Mashariki lakini amepigwa chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…