Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
1. Simamia TLS ifungue kesi Mahakamani kupinga Ubunge wa Halima Mdee na wenzake.
2. Fungueni kesi Mahakamani kudai Katiba Mpya.
3. Fungueni kesi Mahakamani kudai walioporwa fedha zao na mamlaka za serikali warudishiwe fedha zao.
4. Pelekeni kesi Mahakamani kupinga kikokotoo Cha mafao ya mifuko ya hifadhi.
5. Kuna kesi za viongozi wa uhamsho.
6. Kuna wizi unaofanywa na HESLB.
7. Kuna wale viongozi wanaotoa hate speech, kuua na kutishia haki ya kuishi.
8. N.k, N.K
TLS Kama cha wanasheria na mawakiki wasomi; Fanyeni hayo yote kuokoa wananchi kutoka kwenye mikono ya wanasiasa wanaotumikia matumbo yao!
Tofauti na hapo you are better dead than alive!
2. Fungueni kesi Mahakamani kudai Katiba Mpya.
3. Fungueni kesi Mahakamani kudai walioporwa fedha zao na mamlaka za serikali warudishiwe fedha zao.
4. Pelekeni kesi Mahakamani kupinga kikokotoo Cha mafao ya mifuko ya hifadhi.
5. Kuna kesi za viongozi wa uhamsho.
6. Kuna wizi unaofanywa na HESLB.
7. Kuna wale viongozi wanaotoa hate speech, kuua na kutishia haki ya kuishi.
8. N.k, N.K
TLS Kama cha wanasheria na mawakiki wasomi; Fanyeni hayo yote kuokoa wananchi kutoka kwenye mikono ya wanasiasa wanaotumikia matumbo yao!
Tofauti na hapo you are better dead than alive!