Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu wewe ni kiaz.Siri ipi ya mgonjwa?
Mgonjwa yupi? Hakuna taarifa hata moja ya mgonjwa hapo....
Hapo kosa la daktari ni lipi?View attachment 2641578
Nilipokua Mhimbili Intern walimpa mgonjwa dawa za mgonjwa mwingine, Leo Dr Celine anabwaga taarifa za mgonjwa , hawa Intern hawa
Walaumiwe wanaowasimamia , hawa bado wako mafunzoni , pamoja na kujifunza Udaktari lakini wanafundishwa uadilifu pia pamoja na sheria za kazi.View attachment 2641578
Nilipokua Mhimbili Intern walimpa mgonjwa dawa za mgonjwa mwingine, Leo Dr Celine anabwaga taarifa za mgonjwa , hawa Intern hawa
Hawajafundwa kwa kweliHawa ndio wasichana wa kileo..
Wanapost kila kitu.. akila, akitongozwa, akiwa ana sex, akikutana na mtu, akipandq ndege. Akilala...
Fake fake stupid.
Kweli kabisa mpaka hapo ilipoishia hakuna kosa kwa Dr na hata kwa mgonjwa labda kama jamaa alimtongoza Dr ila kama alikuwa anahitaji ushaur zaidi hakuna kosa tungependa kuona muendelezo wa hayo mazungumzo.Sijaelewa kosa la jamaa ni kuonesha alipoitoa namba au!?
Maana sijaona kosa la huyo mgonjwa kumtext daktari.
Au kuna chat inaendelea!!?
Bila kuweka neno kiazi usingeeleweka?Kwasababu wewe ni kiaz.
Umemuona John na hizo Rx lakini?
Yeye amependezesha headline ili mvutiwe kusoma uzi wake.Siri ipi ya mgonjwa?
Mgonjwa yupi? Hakuna taarifa hata moja ya mgonjwa hapo....
Hako kadaktari ka twitter Celine ni kashenzi....juzi kamepost x-ray ya jamaa kapasuliwa yai mk.ndn...kanasema mgonjwa alisema alikuwa anaokota mayai bandani!!!Walaumiwe wanaowasimamia , hawa bado wako mafunzoni , pamoja na kujifunza Udaktari lakini wanafundishwa uadilifu pia pamoja na sheria za kazi.
Shida ni kwamba pakiwa na Intern wasimamizi wanaona ndio muda wa kwenda kulewa