Dr Isaac ndodi

Ravalomanana

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2018
Posts
1,557
Reaction score
1,540
Dr ndodi aonekana ofisini kwa Dr Boaz Mkumbo daktari aliebobea katika kutoa elimu ya lishe, kumbuka Dr ndodi hapo kipindi cha nyuma alikua akitoa elimu ya namna ya kuepukana na kitambi kwa kuwashauri watu wale dona kwa wingi na alikua akikandia Sana watu wenye vitambi, lakini leo hii na yeye ndambi imemuelemea na ameenda kuomba msaada
 
Hebu Muulize Wenye vitambi ni wale wanaokula hovyo hovyo?
 
Labda alijisahau akawa anahudhuria minuso kwa sana.
Tatizo lake alikua hajui hasa kipi kinasababisha kitambi yeye akawa anawakazania watu wale dona, na kutokana na tafiti za sasa hivi vyakula vya wanga pamoja na sukari ndio kisababishi kikuu cha vitambi
 
Alikua anaongeaga kwa kukashifu sana. Alkua anasema usiku unatakiwa unywe uji kkombe ki1 ulale. Labda aljisahau..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wengi umri kadiri unavyoongezeka, na kitambi kinaanza, haijalishi unakula nini.
 
Ukiambiwa tunahitaji watu wenye vitambi hata huyo utamchukua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…