NEVER ON EARTH!Najua utampa JK Kura yako Mwaka Huu 80%-90%
Subira,hatamimi zitoakija ntakwenda kumsikiliza i like him sio kuwa ntaipigia chama chake,elewa ushabiki na kuchagua kiongozi kwa miaka mitano.usitathmini kwamahudhurio ya mkutano watu wengi wapendatu kusikiliza mikusanyiko inamengihata waizi wa mifukoni wanapata ajira saa hiyo,wasio na ajira pia wanapotezeamudahapo kumbuka lyatonga 1995.
Tembelea hapa kwa video zaidi na kuona watu wa Musoma walivyo na ujasiri wa Demokrasia, namshangaa huyo anayesema watu wa Musoma wamemuhakikishia JK ushindi wa 90%
Documentary
I Feel like puking. Whats wrong with Mr. that he deserves? But then there many Dr types.Baadaya ya mkoa ya pwani, morogoro, kilimanjaro, musoma, sumbawanga na mingine mingi kumzibitishia kuwa wanampa kura asilimia 90, sasa Dr Kikwete ana raha anapumzika kwa raha zake,
wakati huo huo Dr SLaa anaagaika mikoa mingine najua kura zake bado hazijatosha mkapa sa ana kama asilimia 7
Mungu msadia rais wetu JK
Tumia akili kidogo Subira. Ina maana wanaokwenda kusikiliza bila nia ya kupiga kura ni kwenye mikutano ya CHADEMA, CUF, etc. Lakini kwa CCM ndiko kuna wapiga kura halisi? Logically doesn't make sense.hatamimi zitoakija ntakwenda kumsikiliza i like him sio kuwa ntaipigia chama chake,elewa ushabiki na kuchagua kiongozi kwa miaka mitano.usitathmini kwamahudhurio ya mkutano watu wengi wapendatu kusikiliza mikusanyiko inamengihata waizi wa mifukoni wanapata ajira saa hiyo,wasio na ajira pia wanapotezeamudahapo kumbuka lyatonga 1995.