Si kweli kwamba hakuliona fuatilia hapa usisikilize maneno ya mtaani. https://www.youtube.com/watch?v=NSrxwn2x_gc
Hii ni mara baada ya mh, John Pombe Magfuli kuhaidi kufanyia mabadiliko mishahara ya wafanyakazi wote nchini ni kauli aliyoitoa jana kwenye mikutano yake. Hili ni jambo jema na halijawai kutokea katika taifa letu, kwakweli wewe ni Nyerere wa pili Baba Magufuli.
basi ni freemason aliwatoa muhanga..
kama alijua na akawaacha watu waporomoke kwenye ghorofa..
Mimi namuamini Mungu si TB ..
duh, joshwa au joshua!!!!!
Huu ni unabiii unaotimia: -
Akizungumza na wasaidizi wake jana jioni nyumbani kwake Lagos Nigeria, Nabii T. B. Joshwa anasema
"Naiona nchi ya africa mashariki ikipata rais mpya kutoka ndani yha chama kikongwe barani afrika mwaka huu 2015. Lakini atakuwa ni rais atakayekuja kupendwa na watu wa nchi yake, mwenye uwezo mkubwa wa kiutawala na atakaebadilisha maisha ya watu wake".
Kutoka kwa mtu wa karibu na SCON Lagos Nigeria.
My take : UKAWA tulieni mnyolewe.
Huyo joshwa ni sahihi kabisa kwa ccm,Mtumishi wa Mungu Tb Joshua ni mtumishi sahihi wa Mungu.
you are very geniuos..
ccm out IT masaki wanapoteza muda wao tuu