Kijana kutoka Malawi, mama yay je alipata shida sana kupata mtoto mpaka herbalist alipompa kamuzu yaani kamzizi alikachemsha na kunywa maji matokeo yake alishika ujauzito na kumpa mtoto jina Kamuzu.
Kamuzu aliishi Malawi mpaka mjomba wake alipompeleka South Africa aliko fan ukiwa kupata kazi kama cleaner wa hospital.
Hospitali ilikuwa ni ya wa missionary, waligunduavuwezo mkubwa wa uelewa wa Kamuzu na walioamua kumpeleka Marekani kwa masomo zaidi.
Niliandika historia kamili ya friend Banda jukwaani la historia
My take in life never give up, Maisha ni self struggle hakuna atakae kutafunia
Hastings Kamuzu Banda Facts