bodi watatukata tukipat UJIRA WETU huko tuendako, tusaidieni, kama mkulu huingii humu watu wako wakupenyezee
kilio hiki, tumejaa, hatusogelei chimwaga, hatuna ada ya kukomboa vyeti, bodi itatukata, mbona benki, na sakkos
zinakopesha sisi tunakosa gani kwa mungu?
tusaidieni