Dr. Kigoda amezindua kiwanda cha kutengeneza pikipiki za magurudumu matatu.

Dr. Kigoda amezindua kiwanda cha kutengeneza pikipiki za magurudumu matatu.

Fadhili Paulo

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2011
Posts
3,211
Reaction score
993
09-oct-biz1.jpg


Waziri wa viwanda na biashara Dr. Abdalah Kigoda amezindua kiwanda cha kutengeneza pikipiki za magurudumu matatu chini ya mamlaka ya uwekezaji wa ukanda maalum EPZA kinachotumia asilimia kubwa ya maligafi za hapa nchini na kuahidi kuendelea kuboresha mazingira kwa wawekezaji wengi zaidi kwenye sekta ya viwanda.

<font color="#0F5494"><span style="font-family: Myriad Pro">

Chanzo: ITV Tanzania
 
Last edited by a moderator:
ni kiwanda ama assembling centre?

Nadhani tatizo hapa ni Tafsiri tu. Nilichoona kwenye Luninga jana usiku ni Kiwanda cha Kuunganishia (assembling) hizo pikipiki. Maana yake ni vifaa na vipuri (parts) vinatengenezwa India na kusafirishwa hadi Dar kwa ajili ya kuunganishwa (assembling) ili kuwa pikipiki kamili. Kiwanda kinamilikiwa na Mhindi. Kama niko sahihi, basi hakuna jipya hapo.

Tusubiri wenye kujua zaidi waje kutujuza!
 
Nadhani tatizo hapa ni Tafsiri tu. Nilichoona kwenye Luninga jana usiku ni Kiwanda cha Kuunganishia (assembling) hizo pikipiki. Maana yake ni vifaa na vipuri (parts) vinatengenezwa India na kusafirishwa hadi Dar kwa ajili ya kuunganishwa (assembling) ili kuwa pikipiki kamili. Kiwanda kinamilikiwa na Mhindi. Kama niko sahihi, basi hakuna jipya hapo.

Tusubiri wenye kujua zaidi waje kutujuza!

Nilivyosikia mimi ni kuwa asilimia100 ya malighafi zake zitakuwa zinatoka hapa hapa Tanzania. Hata hivyo tuanshukuru pengine inaweza kusaidia kupunguza bei ya pikipiki na bajaji.
 
Back
Top Bottom