MasterMind
Senior Member
- Aug 26, 2010
- 102
- 0
katika zile harakati za kuhakikisha kigoda anashinda, msimamizi wa uchaguzi jimbo la muheza amebania barua ya kutupiliwa mbali pingamizi alilowekewa bw.saidi salehe mweto na mgombea wa ccm abdallah kigoda.
Hayo yalijulikana jana baada viongozi wa chadema mkoa wa tanga kufuatilia kwa tume ya uchaguzi taifa wakajibiwa kuwa uamuzi wa umeshatolewa tangu 25/8/2010 na kwamba waende handeni kufuatilia barua .
Chakushangaza mwenyekiti wa tume ya uchaguzi handeni akapiga mkwara kuwa maamuzi hayajafanyika!
Baada ya kuambiwa kuwa taarifa zimetolewa makao makuu ghafla barua ikaonekana na ilitolewa tangu tarehe 25/8
Hayo yalijulikana jana baada viongozi wa chadema mkoa wa tanga kufuatilia kwa tume ya uchaguzi taifa wakajibiwa kuwa uamuzi wa umeshatolewa tangu 25/8/2010 na kwamba waende handeni kufuatilia barua .
Chakushangaza mwenyekiti wa tume ya uchaguzi handeni akapiga mkwara kuwa maamuzi hayajafanyika!
Baada ya kuambiwa kuwa taarifa zimetolewa makao makuu ghafla barua ikaonekana na ilitolewa tangu tarehe 25/8