:thinking::thinking:
Kwa habari zisizokuwa rasmi yule kijana mwenzetu, aliyezushiwa ni Mrundi anazidi kuchanja mbuga kuelekea Bungeni, inaonekana ameendelea kuwaacha wapinzani wake ki-aina!
Jamaa huyu akiingia bungeni na aamue kufanya kazi, hilo Bunge litachangamka sana!
Yes,
Kama hataathirika na siasa za CCM na makundi ya kifisadi, nadhani Kigwangalla ni kijana anayelifaa Bunge letu. Kwa bahati mbaya mpinzani wake mkuu, Mzee Meza alishindwa kuitumia vizuri fursa aliyopata kwenye mdahalo wa TBC1, alipwaya sana badala ya kuongeza kura alipunguza kura nyingi sana.
KAma ni ccm basi afie mbali!
Yes, nami napenda kuamini hivyo. Akivurunda, itabidi tulifufue suara la uraia wake!:A S angry:Yes,
Kama hataathirika na siasa za CCM na makundi ya kifisadi, nadhani Kigwangalla ni kijana anayelifaa Bunge letu. Kwa bahati mbaya mpinzani wake mkuu, Mzee Meza alishindwa kuitumia vizuri fursa aliyopata kwenye mdahalo wa TBC1, alipwaya sana badala ya kuongeza kura alipunguza kura nyingi sana.
kweli kabisaWabunge wa CCM= useless
:thinking::thinking:
Kwa habari zisizokuwa rasmi yule kijana mwenzetu, aliyezushiwa ni Mrundi anazidi kuchanja mbuga kuelekea Bungeni, inaonekana ameendelea kuwaacha wapinzani wake ki-aina!
Jamaa huyu akiingia bungeni na aamue kufanya kazi, hilo Bunge litachangamka sana!
Ni mwajiriwa wa WAMA ya dadaetu Salma
Mrundi wa CCM. Afadhali angepewa Msomali Bashe.