johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kipaji si kuongoza tu,ata kuongozwa ni kipaji.Ukiwa unafikiria kuongoza tu utakuwa na shida mahali Fulani. Hakuna Kiongozi asiye ongozwa iyo ni nature.Dr Kigwangalla amewataka vijana watambue vipaji vyao mapema na wafocus kwenye kutimiza ndoto zao
Kigwangalla amesema yeye ana Kipawa cha Uongozi na alifocus kwenye ndoto yake tangu akiwa form six
Mkimbizi anayeishi kwa kubebwa na CCM.Dr Kigwangalla amewataka vijana watambue vipaji vyao mapema na wafocus kwenye kutimiza ndoto zao
Kigwangalla amesema yeye ana Kipawa cha Uongozi na alifocus kwenye ndoto yake tangu akiwa form six
Kuna video ilimuonyesha wakati akiwa Waziri wa maliasili na utalii Kuna namna alivyokua akiwakaripia Askari wa maliasili na walikua viongozi trna mbele ya watu mbaya zaidi anawaamrisha wapige push up/ waruke uchura.hahahaha kuwa mbunge na waziri Tanzania ndio kipawa cha uongozi?
Akija hapo ufipa mpeni uenyekiti
Ameanza Tena Baada Ya Kuona Hasikiki