Pre GE2025 Dr Kigwangalla: Uchaguzi wa CHADEMA ni tukio lililotikisa Siasa za nchi hii kwa namna yake hasa baada ya kuwepo Mafahari Wawili kwenye kinyang'anyiro!

Pre GE2025 Dr Kigwangalla: Uchaguzi wa CHADEMA ni tukio lililotikisa Siasa za nchi hii kwa namna yake hasa baada ya kuwepo Mafahari Wawili kwenye kinyang'anyiro!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbunge wa Nzega Dr Kigwangala ambaye ni team Mbowe amefurahishwa sana na Demokrasia ya Chadema katika kuchaguana

Amefurahi akiwa ukurasani kwake X

Ahsanteni sana 🐼
Mbatizaji hivi hapo Lumumba mnaweza kuruhusu Ali Karume na Husein Mwinyi wagombee umakamu wa mwenyekiti wa ccm upande wa Unguja?

Je mnaweza kuruhusu mpambano wa kinyang'anyiro cha mwenyekiti baina ya Kinana na Samia?
 
Huyo Kigwa angekuwa demu wahuni wangejisevia... Ana kiherehere sana
 
Matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA unaashiria “novus ordo seclorum” kwa chama ama ni “finis temporum”? Shemeji yangu mmoja bwana Mosha anasema ni ‘Mwanzo wa nyakati Mpya’ za siasa nchini. Yeye ni mshabiki wa Lissu. So he is very hopeful juu ya kukua kwa siasa za upinzania. Mimi kila nikitazama naona ni ‘mwisho wa nyakati’ kwa Mhe. Mbowe na upinzania wa CHADEMA. Pengine I am too conservative! Yote kwa yote, time will tell.

Tunahitaji kuona kitakachotokea hizi siku 30 za kwanza za uongozi wa kaka yangu Mhe. Lissu ili kupata jibu sahihi la predictions zetu wachambuzi. Tujue kama ataunganisha chama (maana kura 31 ni margin ndogo sana) ama atalipa kisasi.

Tujue ataendelea na maridhiano ama ataasi kila kitu cha Mbowe. Kama Mbowe naye atakuwa na moyo wa kusamehe na kumsaidia Lissu kazi ama ataamua kutoka jumla na kuwasusia chama.

Time will tell. Uchaguzi umeacha majeraha makubwa sana. Mbowe ana watu wengi na wameumia. Wakiwazodoa na kuwang’ong’a ama wakiwatenga watabaki na option ya kuachana na CHADEMA ama kuacha siasa kabisa. Kiufupi, kufanikiwa kwa Lissu ni kama atamuomba radhi Mbowe na kumshirikisha kwenye uongozi, na kama Mbowe atakuwa radhi kushirikishwa.

Lissu anamhitaji Mbowe kuliko Mbowe anavyomhitaji Lissu. Je, Lissu analiona hili?
 
Matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA unaashiria “novus ordo seclorum” kwa chama ama ni “finis temporum”? Shemeji yangu mmoja bwana Mosha anasema ni ‘Mwanzo wa nyakati Mpya’ za siasa nchini. Yeye ni mshabiki wa Lissu. So he is very hopeful juu ya kukua kwa siasa za upinzania. Mimi kila nikitazama naona ni ‘mwisho wa nyakati’ kwa Mhe. Mbowe na upinzania wa CHADEMA. Pengine I am too conservative! Yote kwa yote, time will tell.

Tunahitaji kuona kitakachotokea hizi siku 30 za kwanza za uongozi wa kaka yangu Mhe. Lissu ili kupata jibu sahihi la predictions zetu wachambuzi. Tujue kama ataunganisha chama (maana kura 31 ni margin ndogo sana) ama atalipa kisasi.

Tujue ataendelea na maridhiano ama ataasi kila kitu cha Mbowe. Kama Mbowe naye atakuwa na moyo wa kusamehe na kumsaidia Lissu kazi ama ataamua kutoka jumla na kuwasusia chama.

Time will tell. Uchaguzi umeacha majeraha makubwa sana. Mbowe ana watu wengi na wameumia. Wakiwazodoa na kuwang’ong’a ama wakiwatenga watabaki na option ya kuachana na CHADEMA ama kuacha siasa kabisa. Kiufupi, kufanikiwa kwa Lissu ni kama atamuomba radhi Mbowe na kumshirikisha kwenye uongozi, na kama Mbowe atakuwa radhi kushirikishwa.

Lissu anamhitaji Mbowe kuliko Mbowe anavyomhitaji Lissu. Je, Lissu analiona hili?
Weka summary
 
Sayansi ya siasa ndio hii sasa
 

Attachments

  • FB_IMG_1737536681657.jpg
    FB_IMG_1737536681657.jpg
    51.9 KB · Views: 3
Mbunge wa Nzega Dr Kigwangala ambaye ni team Mbowe amefurahishwa sana na Demokrasia ya Chadema katika kuchaguana

Amefurahi akiwa ukurasani kwake X

Ahsanteni sana 🐼
Nilifikiri amebubugikwa na machozi kama ya lokasa ya mbongo.
 
Mbatizaji hivi hapo Lumumba mnaweza kuruhusu Ali Karume na Husein Mwinyi wagombee umakamu wa mwenyekiti wa ccm upande wa Unguja?

Je mnaweza kuruhusu mpambano wa kinyang'anyiro cha mwenyekiti baina ya Kinana na Samia?
ccm si chama cha kidemokrasia. Hawajawahi kuishi misingi ya kidemokrasia
 
Matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA unaashiria “novus ordo seclorum” kwa chama ama ni “finis temporum”? Shemeji yangu mmoja bwana Mosha anasema ni ‘Mwanzo wa nyakati Mpya’ za siasa nchini. Yeye ni mshabiki wa Lissu. So he is very hopeful juu ya kukua kwa siasa za upinzania. Mimi kila nikitazama naona ni ‘mwisho wa nyakati’ kwa Mhe. Mbowe na upinzania wa CHADEMA. Pengine I am too conservative! Yote kwa yote, time will tell.

Tunahitaji kuona kitakachotokea hizi siku 30 za kwanza za uongozi wa kaka yangu Mhe. Lissu ili kupata jibu sahihi la predictions zetu wachambuzi. Tujue kama ataunganisha chama (maana kura 31 ni margin ndogo sana) ama atalipa kisasi.

Tujue ataendelea na maridhiano ama ataasi kila kitu cha Mbowe. Kama Mbowe naye atakuwa na moyo wa kusamehe na kumsaidia Lissu kazi ama ataamua kutoka jumla na kuwasusia chama.

Time will tell. Uchaguzi umeacha majeraha makubwa sana. Mbowe ana watu wengi na wameumia. Wakiwazodoa na kuwang’ong’a ama wakiwatenga watabaki na option ya kuachana na CHADEMA ama kuacha siasa kabisa. Kiufupi, kufanikiwa kwa Lissu ni kama atamuomba radhi Mbowe na kumshirikisha kwenye uongozi, na kama Mbowe atakuwa radhi kushirikishwa.

Lissu anamhitaji Mbowe kuliko Mbowe anavyomhitaji Lissu. Je, Lissu analiona hili?
Haya ni maoni ya mwanaccm mwenye nongwa. Mbowe hana umuhimu huo kwa Lisu, anayetaka kujiunga na Lisu ajiunge, asiyetaka akae pembeni. Tuko wengi tuliotaka mabadiliko toka 2015 Mbowe alipomuokota Lowassa, ila Mbowe akawa kikwazo. Sasa amepigwa chini kwa kushupaza shingo. Bora tuwe wachache kuliko wengi wanafiki.
 
Sayansi ya siasa ndio hii sasa
Kigwangala kaula wa chuya, werevu game tuliionea mbali, hata ule msuguano wa chawa wa hao viongozi wa CHADEMA ulikuwa scripted to draw people's attention.
Mazuzu walikuwa ni wale chawa wa nje ya mfumo wa CHADEMA kwani wao kwa kutokujielewa walikuwa wanahamaki na kupandwa jazba seriously.
 
Back
Top Bottom