Dr Kijazi: Kutakuwa na upungufu mkubwa wa mvua za mwisho wa mwaka, wakulima chukueni tahadhari!

Dr Kijazi: Kutakuwa na upungufu mkubwa wa mvua za mwisho wa mwaka, wakulima chukueni tahadhari!

Kanuni ni hii kwa wakuluma, mvua ya kwanza ya msimu ndio ya kupandia! Hakuna kulala na sasa maeneo kadhaa ya nchi mvua inanyesha! Wakulima tuenzeni kupanda!
 
Kanuni ni hii kwa wakuluma, mvua ya kwanza ya msimu ndio ya kupandia! Hakuna kulala na sasa maeneo kadhaa ya nchi mvua inanyesha! Wakulima tuenzeni kupanda!
Sisi ni taifa tajiiiriiiii na dooona kantriiiiii hivyo tusihofu
 
Back
Top Bottom