johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Chukua tahadhari!Njaa tena?
Hahahaaaa........ Mtanikumbuka!Mwendazake kaondoka na baraka za mvua.
Tuweke akibaTuchukue tahadhari gani sasa? Maana tumezoea kuchukua tahadhari kama mvua zitakuwa kubwa. Mafuriko nk.
Umenena vema!Tuweke akiba
CCM ndiyo imesababisha haya yoteChukua tahadhari!
Yaani Kuna watu wanawaza Jpm kila uchao[emoji848]Mwendazake kaondoka na baraka za mvua.
Dua muruaBora usinyeshe ili ccm wafe kwa njaa
Sisi ni taifa tajiiiriiiii na dooona kantriiiiii hivyo tusihofuKanuni ni hii kwa wakuluma, mvua ya kwanza ya msimu ndio ya kupandia! Hakuna kulala na sasa maeneo kadhaa ya nchi mvua inanyesha! Wakulima tuenzeni kupanda!
Ukiona hivyo ujue walikuwa wanafaidika naye haoYaani Kuna watu wanawaza Jpm kila uchao[emoji848]
Wacheni kukufuru nyie machawaMwenye mvua aliondoka nayo duh!
Afadhali umemalizaSawa