CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Mheshimiwa Dr. Kikwete,
Mheshimiwa rais, Katiba ni maridhiano- tumefundishwa mashuleni theories za social contract- Social Contract Theories as expounded by Hobbes, Locke and Rousseau and many others. Rejea maandiko hayo!
Naomba niseme tu kuwa katiba hii itaacha mpasuko mkubwa katika jamii ya watanzania. Umoja , ushirikiano vimetikiswa-mpasuko kama alivyotuasa baba wa taifa. Historia itakuwa juu yako. Litafakari upya. Hatuna haja ya haraka kiasi hicho!
Mheshimiwa rais, Katiba ni maridhiano- tumefundishwa mashuleni theories za social contract- Social Contract Theories as expounded by Hobbes, Locke and Rousseau and many others. Rejea maandiko hayo!
Naomba niseme tu kuwa katiba hii itaacha mpasuko mkubwa katika jamii ya watanzania. Umoja , ushirikiano vimetikiswa-mpasuko kama alivyotuasa baba wa taifa. Historia itakuwa juu yako. Litafakari upya. Hatuna haja ya haraka kiasi hicho!