CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Mheshimiwa Dr. Kikwete,
Mheshimiwa rais, Katiba ni maridhiano- tumefundishwa mashuleni theories za social contract- Social Contract Theories as expounded by Hobbes, Locke and Rousseau and many others. Rejea maandiko hayo!
Naomba niseme tu kuwa katiba hii itaacha mpasuko mkubwa katika jamii ya watanzania. Umoja , ushirikiano vimetikiswa-mpasuko kama alivyotuasa baba wa taifa. Historia itakuwa juu yako. Litafakari upya. Hatuna haja ya haraka kiasi hicho!
Unaweza kufanya jambo ukifikiri unatengeneza kumbe unaharibu kwa upande wa katiba ndio anaharibu tokea watelekeza maoni ya wananchi nakuweka katiba ya ccmMheshimiwa Dr. Kikwete,
Mheshimiwa rais, Katiba ni maridhiano- tumefundishwa mashuleni theories za social contract- Social Contract Theories as expounded by Hobbes, Locke and Rousseau and many others. Rejea maandiko hayo!
Naomba niseme tu kuwa katiba hii itaacha mpasuko mkubwa katika jamii ya watanzania. Umoja , ushirikiano vimetikiswa-mpasuko kama alivyotuasa baba wa taifa. Historia itakuwa juu yako. Litafakari upya. Hatuna haja ya haraka kiasi hicho!
Mheshimiwa Dr. Kikwete,
Mheshimiwa rais, Katiba ni maridhiano- tumefundishwa mashuleni theories za social contract- Social Contract Theories as expounded by Hobbes, Locke and Rousseau and many others. Rejea maandiko hayo!
Naomba niseme tu kuwa katiba hii itaacha mpasuko mkubwa katika jamii ya watanzania. Umoja , ushirikiano vimetikiswa-mpasuko kama alivyotuasa baba wa taifa. Historia itakuwa juu yako. Litafakari upya. Hatuna haja ya haraka kiasi hicho!
unaweza kufanya jambo ukifikiri unatengeneza kumbe unaharibu kwa upande wa katiba ndio anaharibu tokea watelekeza maoni ya wananchi nakuweka katiba ya ccm
Katika hili, huyu mzee Dr. Kikwete sijui kalogwa masikini ..!!
Enzi za utawala wa wafalme katika uyahudi, mambo yanapokwenda ndivyosivyo wafalme walikuwa wanatafuta manabii na watu wenye hekima katika taifa ili wawashauri.
Naomba Kikwete atumie njia hiyo kwani washauri wake wa sasa wanampotosha na kuzidi kumpoteza. Ningalikuwa mimi ndiye rais, ningeliwaalika maaskofu ikulu waje wanishawishi msingi wa tamko lao kwani tanzania ni yetu sote na katiba ndiyo itakayotuunganisha.
Mkuu ndio maana Katiba ni maridhiano, Kwa kuwa nchi ni yetu sote, najua Unatetea kuondolewa kwa maadili ya viongozi ndani ya Katiba. Hili kujenga Taifa lenye uwajibikaji na Utii lazima kuwa na namna ya kuwaadabisha Viongozi, Na hasa hawa viongozi wanaonunua mboga kwa milioni kumi!! Waliojaa Jeuri na kibri kama Nyoka mwenye makengeza!! Wanaotumia Ofisi kujaza pesa nyingi mifukoni mwao!!nyie inawauma sana kuona katiba hii inayopendekezwa kwamba inaelekea kushinda, jamani tanzania ni yetu sote kuweni wazalendo acheni maneno maneno tena kumtajataja rais kikwete. Kuweni wazelndo kwa nchi yenu.
Inaelekea yeye shule alizosoma yeye na elimu aliyopata ni tofauti na ulizosoma wewe na labda hakuwahi kukutana na hizo theories!Mheshimiwa Dr. Kikwete,
Mheshimiwa rais, Katiba ni maridhiano- tumefundishwa mashuleni theories za social contract- Social Contract Theories as expounded by Hobbes, Locke and Rousseau and many others. Rejea maandiko hayo!
Naomba niseme tu kuwa katiba hii itaacha mpasuko mkubwa katika jamii ya watanzania. Umoja , ushirikiano vimetikiswa-mpasuko kama alivyotuasa baba wa taifa. Historia itakuwa juu yako. Litafakari upya. Hatuna haja ya haraka kiasi hicho!
Inaelekea yeye shule alizosoma yeye na elimu aliyopata ni tofauti na ulizosoma wewe na labda hakuwahi kukutana na hizo theories!
nyie inawauma sana kuona katiba hii inayopendekezwa kwamba inaelekea kushinda, jamani tanzania ni yetu sote kuweni wazalendo acheni maneno maneno tena kumtajataja rais kikwete. Kuweni wazelndo kwa nchi yenu.
mkuu ndio maana katiba ni maridhiano, kwa kuwa nchi ni yetu sote, najua unatetea kuondolewa kwa maadili ya viongozi ndani ya katiba. Hili kujenga taifa lenye uwajibikaji na utii lazima kuwa na namna ya kuwaadabisha viongozi, na hasa hawa viongozi wanaonunua mboga kwa milioni kumi!! Waliojaa jeuri na kibri kama nyoka mwenye makengeza!! Wanaotumia ofisi kujaza pesa nyingi mifukoni mwao!!
ebu ndugu yangu tuache ushabiki na acha jaziba. Tuwe wakweli, naomba unijibu kwa hoja za msingi. Hadi sasa (tarehe 18 march) bado mkoa wa njombe tu zoezi la kuandikisha watu halijakamilika. Tuna siku 12 huu mwezi machi uishe. Pia ili zoezi la kupiga kura lifanyike tarehe 30 aprili, zinahitajika siku 30 za elimu kwa umma. Let's say mwezi april wote ndio uwe wa elimu kwa umma. Je hizi siku 12 zilizobaki zitafaa kuandikisha watu nchi nzima kupitia mfumo huu wa bvr? Na ujuavyo, tuache ushabiki, swala la mifumo mipya inakuwa na changamoto zake nyingi tu, huwezi kuepuka hizo changamoto.
Haina haja ya zimamtot kwenye vitu sensitive kama hiki
mtu yeyote aliyesoma social sciencies- law, sociology, education and the like, hayo utayakuta tena core course! Kikwete amesoma arts- social science, ameyasoma!
wajameni mbona mnatoka nje ya mada??
kwann unasema hivo? Kwani hakuna watanzania tunao ihitaji katiba pendekezwa?Mheshimiwa Dr. Kikwete,
Mheshimiwa rais, Katiba ni maridhiano- tumefundishwa mashuleni theories za social contract- Social Contract Theories as expounded by Hobbes, Locke and Rousseau and many others. Rejea maandiko hayo!
Naomba niseme tu kuwa katiba hii itaacha mpasuko mkubwa katika jamii ya watanzania. Umoja , ushirikiano vimetikiswa-mpasuko kama alivyotuasa baba wa taifa. Historia itakuwa juu yako. Litafakari upya. Hatuna haja ya haraka kiasi hicho!
Enzi za utawala wa wafalme katika uyahudi, mambo yanapokwenda ndivyosivyo wafalme walikuwa wanatafuta manabii na watu wenye hekima katika taifa ili wawashauri.
Naomba Kikwete atumie njia hiyo kwani washauri wake wa sasa wanampotosha na kuzidi kumpoteza. Ningalikuwa mimi ndiye rais, ningeliwaalika maaskofu ikulu waje wanishawishi msingi wa tamko lao kwani tanzania ni yetu sote na katiba ndiyo itakayotuunganisha.