Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi Zaipuna Yuko vizuri mnoZaipuna
Au ccm mmeshakwapua kama kawaida yenu??Za ndaani kabisa, vitabu vya hesabu vya CRDB haviko vizuri, hizi za ndaani kabisa. Hata uwakilishi wao mahakamani, umekuwa wa kuokoteza, wameacha ku-outsource kutokana na uhaba wa fedha.
Halafu Nsekela kakosa ubunifu, benki imepoa, haina products, na haisikiki sana katika media.
Hiyo Benki wanakopa zaidi chadema, kwa sababu ina wachaga wengi.Au ccm mmeshakwapua kama kawaida yenu??
Kimei ameitoa CRDB shimoni, huyu bwana ndio gwiji zaidi, Nsekela anaendeleza tu ya Kimei.Uongozi wa Nani Kati ya Hawa wakuu wawili wameweza kuifanya benki kufanya vizuri kwenye soko na gawio kwa wanahisa?
✅Kimei ameitoa CRDB shimoni, huyu bwana ndio gwiji zaidi, Nsekela anaendeleza tu ya Kimei.
HAHAHHAHAHA MAJI YA ZAMZAM!kama ilivyokuwa NSSF ya DAUZa ndaani kabisa, vitabu vya hesabu vya CRDB haviko vizuri, hizi za ndaani kabisa. Hata uwakilishi wao mahakamani, umekuwa wa kuokoteza, wameacha ku-outsource kutokana na uhaba wa fedha. Hata katika uharaka wa kutoa mkopo wamepunguza, wako kimachale machale hivi.
Halafu Nsekela kakosa ubunifu, benki imepoa, haina products, na haisikiki sana katika media. Ila nasikia anavizia jimbo huko kwao Kagera, na amekopesha BAKWATA kujenga kitega uchumi Bukoba.
Tuombe mungu tu kwenye ajira asijaze wanaopenda maji ya zamzam