Dr. Kingwangala na swaga za kifimbo. This is expired fashion

Dr. Kingwangala na swaga za kifimbo. This is expired fashion

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Nmemuona Dr Hamisi Kingwangalla na kirungu mkononi hapa bandarini yani nilikuwa nasubiri anihoji maswali nimjibu kunya anyanyue kirungu chake walahi angepambana na jembe moja matata!
 
Nmemuona dr hamisi kingwangala na kilungu mkononi hapa bandalini yani nilikuw nasubiri anihoji maswal nimjibu kunya anyanyue kilungu chake walai angepambana na jembe moja matata!
Acha zako wewe, nyie si ndio huwa mnajinyeanyea mkiwaona
 
Utawala wa Magufuli na mawazir wake,ni sawa na kuwa na ma baunsa ila wamelewa,hawawezi kujituma wenyewe kwenye kazi zao
 
Back
Top Bottom