Dr. Luis Shika: Hakuna popote niliposema milioni 800 au milioni 900 nilisema mia Tisa(900)

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

Mnunuzi wa nyumba za Lugumi zilizopigwa mnada na Kampuni ya Yono Auction Mart kufidia deni la TRA, Dr.Luis Shika amekanusha vikali madai ya polisi kwamba alikusudia kufanya utapeli kwenye mnada wa uuzwaji wa nyumba hizo.

Dr.Shika ameshangaa polisi kumlisha maneno kwamba alitamka milioni 700, 800 na 900, wakati ukweli alitamka 900 lakini sio milioni. "Ni kweli nilipanga kununua nyumba zote tatu, na kwenye mnada nilitamka fedha 700, 800 na mwisho 900. Hakuna popote niliposema milioni 800 au milioni 900" Amesema Dr.Luis Shika aliyejipatia umaarufu siku za karibuni kutokana na sakati hilo.
 
Asifanye watu wajinga, ina maana yeye ndie alikuwa wa kwanza kutaja hizo bei. Mnadani bei huanza kutangazwa k uanzia chini na inapanda, sasa kama imefikia milioni 600 na yeye akatamka 700, sio kwamba wanarudi chini kuanza tena kwa tshs 700 ni mwendelezo wa ile milioni 600, hivyo ni milioni 700. Kisheria anaweza kuwa na mashiko, ila si katika mazoea ya kuendesha minada.
 
Du????kweli bongo bahati mbaya!
 

I'm responsible for what I'm saying not how you understand
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…