Mwe??bongo kuna watu hatari sana kwa editingHuyoo tayari ni next level View attachment 628203
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tatizo ni yono wamekataa milioni 810 wamekubali 900 sasa kwanini wamsumbue dr,labda awe hana hizo 900
Huyu jamaa sio mtu wa Ku ignore ni mafia wa kuwango cha juu ana confidence sio mchezo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]..... Huyo mzee mnamuona boya, wakati amekuja kuharibu mnada kimkakati. Na alikuwa amejiwekea defensive mechanism jinsi ya kuwatoka... "eti nilisema 700,800 na 900 sikutaja milion"... Dunia hii, Dr kanichekesha sana leo.
Hata kama asiwe tajiri, kwa hoja yake ya 700, 800 na 900 badala ya million kama alivoeleza, si rahisi kumtia hatiani.Na watamuacha tu, unadhani watamfanyaje mtu tajiri kama huyo?
[emoji23][emoji23] wakampigie magoti tuMganga wa Lugumi sio wa sayari hii[emoji23][emoji23][emoji23]
Under the law, yes, not in the context of auctioning.I'm responsible for what I'm saying not how you understand
Jamaa alisema 400. Yaani mia nneKama uliweza kusikiliza mwnzo wa mnada yule mama alikaribisha offa jamaa akasema cjui mil300 cjui alisema 300 sina kumbukumbu so bei ya kwnz siyo kwmb walisema yono
Hapo anapepewa tu [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]100
100
100
100
100
100
100
100
100
=900/- itapendeza zaidi.