johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Maadam inahusu kununua nunua watu mlengwa atakuwa ni mbowe tu huyo na mabulungutu ya abdul!.Ametoa angalizo Dr Lwaitama Ukurasani kwake X
Ukiona mgombea anawanunua hadi akina Kigogo wamtangaze, Kaisha huyo
Ila sijajua hapo Chadema nani kamnunua Kigogo πΌ
Bila shaka genge lako/lenu la mwamba wazamishe.Ametoa angalizo Dr Lwaitama Ukurasani kwake X
Ukiona mgombea anawanunua hadi akina Kigogo wamtangaze, Kaisha huyo
Ila sijajua hapo Chadema nani kamnunua Kigogo πΌ
..aondoke aende wapi? amekuwa kiongozi kwa miaka 20 tu!!, ni owner and main sponsor wa CDM, akina Lisu et al, ni aliens, and eventually they will go where thy belongMbowe apumzike inatosha kabisa
FAM team ake wanafanya mambo ya kitoto snAmetoa angalizo Dr Lwaitama Ukurasani kwake X
Ukiona mgombea anawanunua hadi akina Kigogo wamtangaze, Kaisha huyo
Ila sijajua hapo Chadema nani kamnunua Kigogo πΌ
Ni mbowe.. na huyo kigogo anamuita lissu CHIBA.Ametoa angalizo Dr Lwaitama Ukurasani kwake X
Ukiona mgombea anawanunua hadi akina Kigogo wamtangaze, Kaisha huyo
Ila sijajua hapo Chadema nani kamnunua Kigogo πΌ
Wanafiki wanatapatapa.Ametoa angalizo Dr Lwaitama Ukurasani kwake X
Ukiona mgombea anawanunua hadi akina Kigogo wamtangaze, Kaisha huyo
Ila sijajua hapo Chadema nani kamnunua Kigogo πΌ
Hivi mpaka leo Kigogo2014 hajajulikana ni nani hasa?????.Ametoa angalizo Dr Lwaitama Ukurasani kwake X
Ukiona mgombea anawanunua hadi akina Kigogo wamtangaze, Kaisha huyo
Ila sijajua hapo Chadema nani kamnunua Kigogo πΌ
π― π― π―Wanafiki wanatapatapa.
Kukiwa na, jambo watu mbalimbali huwa,wana maoni yao sasa mtu akiona fulani anafaa na fulani hafai haina maana huyo anayefaa amemnunua..
Kigogo kama mtanzania,mwingine naye ana haki ya kumuona fulani anafaa na mwingine hafai lakini hiyo siyo uthibitisho kuwa kahongwa.
Msomi kama Lwaitama kuwa na 'made up information' kuhusu jambo ambalo halifahamu ni poor intellectualism.
Lissu.Ametoa angalizo Dr Lwaitama Ukurasani kwake X
Ukiona mgombea anawanunua hadi akina Kigogo wamtangaze, Kaisha huyo
Ila sijajua hapo Chadema nani kamnunua Kigogo πΌ
Kigogo na Madenge wanakula tu mpunga wa Wenje πLissu.