Kama alishindwa kusimamia shule yake iwe na nidhamu kwa wanafunzi na ufaulu mzuri ataweza kuongoza Jimbo ?
Perfect vision back in days ilikuwa Kama sehemu ya danguro wanafunzi wanavushwa mchana ,shule Kama studio nop ,tunaomba ajitafakari kwanza kabla ya kuchukua hilo jimbo