Dr. Miguna: Rais Ruto Kanirejeshea hati yangu ya kusafiria

Dr. Miguna: Rais Ruto Kanirejeshea hati yangu ya kusafiria

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Kupitia Ukurasa wake Rasmi kwenye mtandao wa twitter, Wakili Dr. Miguna Miguna amesema kuwa Rais mpya wa nchi hiyo William Ruto amemrejeshea hati yake ya kusafiria baada ya Serikali ya nchi hiyo kuishikilia kwa siku 1687.

Katika maelezo yake, Dr. Miguna amewatuhumu watu kadhaa wakiwemo Raila Odinga kuwa walishirikiana na Serikali katika kuraribu kadhia hii.

610BB029-B1F0-4939-964A-851F1BC93754.jpeg


Kwa sasa yupo tayari Kurudi Kenya, lakini anasubiria hakikisho la Usalama wake kutoka kwa Rais Ruto.

Mgogoro wa Dr. Miguna Miguna na Serikali ya Kenya ulianza baada ya kumwapisha Raila Odinga kuwa Rais wa nchi hiyo huku mshindi halali anayetambuliwa akiwa ni Kenyatta.
 
Ahadi ni deni , je imetimizwa? :
TOKA MAKTABA / THE ONLINEARCHIVES

Mahojiano na naibu rais William Ruto tarehe 5 March 2022

William Ruto - "Tunapokea wakimbizi kwetu Kenya, hivyo hakuna haja ya Miguna Miguna kuwa mkimbizi Canada"

Source : VOA Swahili
 
7 September 2022

Dr Ofweneke Tonight | Miguna Miguna and PLO Lumumba clash on set 😂😂



Source : TV47 Kenya
 
Miguna ni Lissu wa Kenya .
 
Back
Top Bottom