johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kama Vijana Wenyewe wanaofikisha hiyo 77% ni akina Lucas Mwashambwa basi hiyo. Mama Tanzania bado ina safari ndefu mno
Mlale Unono 😄
Mlale Unono 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesaidia sana,,hasa wakati wa magufuri kwa kuanzia miradi ya kielelezo.Tungeanza zamani mgumo wa miradi ya kielezo sasahivi tungekuwa tunahali Bora sanaAmekuwa lecture uuniversit (meandika na kusoma sana vitabu), amekuwa mbunge, amekuwa waziri wa fedha, amekuwa makamu wa rais, kote huko ameshindwa kuwasaidia watanzania, halafu leo ndiyo anakuja kuwaambieni sasa anakwenda kuandika vitabu vya kuisaidia mama Tanzania? Hizo nafasi na fursa zote alizopata alizitumia kumsaidia nani?
Dr Mpango Yuko sahihi sanaKama Vijana Wenyewe wanaofikisha hiyo 77% ni akina Lucas Mwashambwa basi hiyo. Mama Tanzania bado ina safari ndefu mno
Mlale Unono 😄
Kuna mtu anaitwa, au ana wadhifa wa lecture! Idiot, go back to school.Amekuwa lecture uuniversit
Mipumbavu kama hii nayo utasikia inalalama kukosa ajira, ukaajiriwe ufanye kazi gani kilaza wewe!Amekuwa lecture uuniversit (meandika na kusoma sana vitabu), amekuwa mbunge, amekuwa waziri wa fedha, amekuwa makamu wa rais, kote huko ameshindwa kuwasaidia watanzania, halafu leo ndiyo anakuja kuwaambieni sasa anakwenda kuandika vitabu vya kuisaidia mama Tanzania? Hizo nafasi na fursa zote alizopata alizitumia kumsaidia nani?
Vijana wenyewe wa kusoma vitabu tuko wapi ?!!Kama Vijana Wenyewe wanaofikisha hiyo 77% ni akina Lucas Mwashambwa basi hiyo. Mama Tanzania bado ina safari ndefu mno
Mlale Unono 😄
Mheshimiwa Mpango amefanya mengi ya kuwasaidia watanzania, kazi zake ni mbegu iliyomea kuanzia kufundisha chuoni hadi makamu wa Rais. Wapo wengi walioguswa na kufaidi utumishi wake kwa namna moja au nyingine. Lazima aheshimiwe na siyo kumbeza.Amekuwa lecture uuniversit (meandika na kusoma sana vitabu), amekuwa mbunge, amekuwa waziri wa fedha, amekuwa makamu wa rais, kote huko ameshindwa kuwasaidia watanzania, halafu leo ndiyo anakuja kuwaambieni sasa anakwenda kuandika vitabu vya kuisaidia mama Tanzania? Hizo nafasi na fursa zote alizopata alizitumia kumsaidia nani?
Amekuwa Lecturer siyo " Lecture" ! Acha kukariri mambo!Amekuwa lecture uuniversit (meandika na kusoma sana vitabu), amekuwa mbunge, amekuwa waziri wa fedha, amekuwa makamu wa rais, kote huko ameshindwa kuwasaidia watanzania, halafu leo ndiyo anakuja kuwaambieni sasa anakwenda kuandika vitabu vya kuisaidia mama Tanzania? Hizo nafasi na fursa zote alizopata alizitumia kumsaidia nani?
Kwamba Lucas ni chenga???Kama Vijana Wenyewe wanaofikisha hiyo 77% ni akina Lucas Mwashambwa basi hiyo. Mama Tanzania bado ina safari ndefu mno
Mlale Unono 😄
Unaupimaje mchango wake?Amekuwa lecture uuniversit (meandika na kusoma sana vitabu), amekuwa mbunge, amekuwa waziri wa fedha, amekuwa makamu wa rais, kote huko ameshindwa kuwasaidia watanzania, halafu leo ndiyo anakuja kuwaambieni sasa anakwenda kuandika vitabu vya kuisaidia mama Tanzania? Hizo nafasi na fursa zote alizopata alizitumia kumsaidia nani?
Lucas mwangomola ni rejected creature hadi ndani ya CCMKama Vijana Wenyewe wanaofikisha hiyo 77% ni akina Lucas Mwashambwa basi hiyo. Mama Tanzania bado ina safari ndefu mno
Mlale Unono 😄
Hicho ni kipimo changu au ni kaul yake?Unaupimaje mchango wake?
Hayo ukamwambie yeye. Maana hiyo ni kauli yake. Soma vizuri hicho anachodaiwa kukiongea.Mheshimiwa Mpango amefanya mengi ya kuwasaidia watanzania, kazi zake ni mbegu iliyomea kuanzia kufundisha chuoni hadi makamu wa Rais. Wapo wengi walioguswa na kufaidi utumishi wake kwa namna moja au nyingine. Lazima aheshimiwe na siyo kumbeza.
Acha kujitia ujuaji mpumbavu wewe. Usipende kukurupuka kujibu hoja ambazo haujazielewa.Mipumbavu kama hii nayo utasikia inalalama kukosa ajira, ukaajiriwe ufanye kazi gani kilaza wewe!
Hata kazi aliyoanzia samia masjala huwezi kuimudu.