How abouts Madiwani's maana Dr haombi kura zake tu.Wananchi wa Kyela wameuambia ndugu Harrison kitambo tuu kuwa apumzike aachane na kampeni bse kura za ubunge ameshazipata.
Na kuhusu uraisi wana kyela walimwambia kuwa yeye ubunge sawa ila uraisi ni kwa Slaa kwa sababu JK hajatekeleza baadhi ya mambo yao kama kumuondoa Mkuu wa Mkoa ambao ni chanzo cha mitafaruku mkoani Mbeya
Unajua kura ni sili ila madr kwa madr wanajuana hawa.
Wananchi wa Kyela wameuambia ndugu Harrison kitambo tuu kuwa apumzike aachane na kampeni bse kura za ubunge ameshazipata.
Na kuhusu uraisi wana kyela walimwambia kuwa yeye ubunge sawa ila uraisi ni kwa Slaa kwa sababu JK hajatekeleza baadhi ya mambo yao kama kumuondoa Mkuu wa Mkoa ambao ni chanzo cha mitafaruku mkoani Mbeya
Una maana Dr. mwakyembe, Dr. Slaa na dr. Kikwete?
dr. Kikwete:nono:
Dr. Slaa:israel:Una maana Dr. mwakyembe, Dr. Slaa na dr. Kikwete?
dr. Kikwete:nono:
Yeah lazima ampigie mpiganaji mwenzake!Big up Kyela. Naamini hata Mwakyembe atampigia kura Dr Slaa.
Wananchi wa Kyela wameuambia ndugu Harrison kitambo tuu kuwa apumzike aachane na kampeni bse kura za ubunge ameshazipata.
Na kuhusu uraisi wana kyela walimwambia kuwa yeye ubunge sawa ila uraisi ni kwa Slaa kwa sababu JK hajatekeleza baadhi ya mambo yao kama kumuondoa Mkuu wa Mkoa ambao ni chanzo cha mitafaruku mkoani Mbeya
Una maana Dr. mwakyembe, Dr. Slaa na dr. Kikwete?
dr. Kikwete:nono: