...Alikuwa muhubiri mzuri wa Ujamaa..Atakumbukwa kwa maandiko yake katika vitabu "African Socialism in Practice" na "Towards Socialism in Tanzania"
Wote tutakufa, Mzee ametangulia tu...Mchango wake kwa Taifa ni wa kuigwa bila kujali ulikuwa mbaya ama mzuri...