Dr. Mwele Malecela aula! Awa Makamu wa Rais IANPHi

Jackbauer

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
6,053
Reaction score
2,207

source ;National Public Health Institute, NPHI Advocacy | IANPHI - International Association of Public Health Institues
 
Kirefu cha IANPHI ni International Association of Public Health Institues? Mbona N siioni?

All in all KUDOS Dr. Mwelecela Malecela



 
Wao walipata privilege ya elimu nzuri ndio maana tunapigana kubadili system tuwape pia nafasi watoto wa maskini wa Tanzania
 
Hakika huyu hakuwa na muda wa kwenda kuhudhuria kesi cha kichochezi alipokuwa anasoma...
 
mbona huyu anaonekana ni msomi mwerevu kuliko LE TOTOZ...ni ndugu kweli hawa?
 
Wao walipata privilege ya elimu nzuri ndio maana tunapigana kubadili system tuwape pia nafasi watoto wa maskini wa Tanzania
Mtendee haki. Wakati anasoma kulikuwa na opportunities sawa. Kafika hapo kwa juhudi zake. Hongera dada.
 
Le mutuz ni baharia by proffessional, so akili za mabaharia ndo zilivyo as upepo wa baharini unaharibu ubongo
 
Wanaundugu na le mutuzi au majina tu yanafanana.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…