Dr. Mwele Malecela aula! Awa Makamu wa Rais IANPHi

Hongera Dr mwele! Le mutuz ana gundu!

Lakini kupigwa gap na sister ni aibu? Ingawa tunasisitiza usawa Le Mutuz naye angejitahidi akawajibu dada zake bwana! Pamoja na uwezesho wote ule yeye akafulia!! AIBUUUUUUUUUUU!!
 
Hongera sana Mwele...wanaundugu nadhani ni Baba mmoja ila Mama mbali mbali. Mama yake Mwele alishafariki miaka mingi ila nilisoma hapa jamvini kwamba Mama yake Le Mutuz bado yu hai.
 
Hongera Dr.wewe ni mashine,sio wale kama wenzetu wanaotegemea kubebwa badala yakuproduce vya kwao
 
Sasa ni wakati muafaka kwa huyu mama kuolewa kwa mara ya kwanza, maana kuendelea kukaa bila mume ni hatari sana kijamii.
 
hongera zake lakini atupe matokeo ya kwa babu wa loliondo.
 
Wao walipata privilege ya elimu nzuri ndio maana tunapigana kubadili system tuwape pia nafasi watoto wa maskini wa Tanzania

Hata kwetu watu kama ninyi mpo roho hukutoka na kujikunja kwa sababu tu eti kwanini yule,,,,, imekula kwako muulize baba na ndugu zako wengine walikuwa wapi wakati huo na na hata kwa haya mageuzi bado yatakuwa kwa wachache lakini wanofanana ....... pole
 
Hongera mnoo Daktari wetu, katuwakilishe vyema huko duniani
 
Kichwa sana huyu tangu akiwa Zanaki. Duh, nimekumbuka ile ajali miaka ilee ambayo waliishia kumpoteza kaka yao mkubwa baada ya kuiba gari na kuwabeba kwenda kwenye party. Huyu aliumia sana kichwani lkn bado zimeendelea kuchemka ! Huyo mwingine analazimisha tu jina....lol

Congrats. Katuwakilishe vema



 
hii ni post ya mwanjf mwenzetu
 
Honbgera mama, jishike huko huko usije kwenye siasa, utachafuka mpaka, tumekia nchi kwa nyia hiyoooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…