Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 278
- 255
Mamba aliyepo kwenye kina kirefu kuanzia Jumamosi ijayo atakuwa Jimboni Iramba akitembelea kata na tarafa zake kwa ajili ya kupongezwa na wanaCCM kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha na pia kuwashukuru wapiga kura wake wa Chamani kwa kumwezesha kuingia bungeni na hatimaye kuteuliwa katika nafasi hiyo.
Mojawapo ya maandalizi tunayoendelea kuyafanya ni pamoja na kumwandalia zawadi zenye kubeba mila zetu za KiNyiramba ikiwepo togwa, matogo, "mandi", "mbilu" n.k pamoja na kumpa mavazi ya Kichifu kuashiria nguvu aliyonayo jimboni kwa sasa
Karibu Iramba Dr Mwigulu mbunge wetu na hongera sana kwa wema wako hadi kutukumbuka wanachama wenzio!
Mojawapo ya maandalizi tunayoendelea kuyafanya ni pamoja na kumwandalia zawadi zenye kubeba mila zetu za KiNyiramba ikiwepo togwa, matogo, "mandi", "mbilu" n.k pamoja na kumpa mavazi ya Kichifu kuashiria nguvu aliyonayo jimboni kwa sasa
Karibu Iramba Dr Mwigulu mbunge wetu na hongera sana kwa wema wako hadi kutukumbuka wanachama wenzio!