Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,828
Yote ni Matokeo ya tabia yangu ya kupenda rambaramba..mwishowe nikaangukia balaa... koo langu likawa ambushed hata kuarestiwa na wale wadudu
lakini nikaamua kumwambia Dk wangu MziziMkavu, nae bila kinyongo akanielekeza tiba mbadala
mpaka sasa sina wasi tena na wadudu wakali, naramba kila kitengo ninachotaka...maana dawa naijua
shukrani za dhati zimwangukie Dk huyu
Mungu ampe heri na maisha marefu, amina
lakini nikaamua kumwambia Dk wangu MziziMkavu, nae bila kinyongo akanielekeza tiba mbadala
mpaka sasa sina wasi tena na wadudu wakali, naramba kila kitengo ninachotaka...maana dawa naijua
shukrani za dhati zimwangukie Dk huyu
Mungu ampe heri na maisha marefu, amina
Last edited by a moderator: