Dr. Nassoro Ally Matuzya ni daktari wa binadamu mgombea wa nafasi ya Katibu Mkuu chama cha wataalamu wa tiba ya michezo Tanzania (TASMA) ana uzoefu mwingi mno ndani ya chama hiki na masuala ya tiba za michezo amewahi kuwa daktari mkuu wa team ya Young Africans kwa vipindi tofauti, team ya taifa ya vijana wa Tanzania Serengeti boys na team ya taifa ya wakubwa Taifa Stars.
Dr. Matuzya ana sifa kubwa sana nchini kupigania masuala ya michezo na tiba za wachezaji kwa vilabu vyote kwa kuwa ni msimamizi wa tiba kwa wataalamu wote wa tiba za michezo wa kwenye vilabu vyote kwa kutoa elimu na kuhamasisha umoja wa vilabu kwa watoa tiba wote.
Wakati anaingia tasma kuna mambo yalikuwa mengi hayapo sawa amejitahidi kukutanisha wataalamu kuwa kitu kimoja na kuifanya sasa TASMA kujulikana nje na ndani ya Tanzania kwa usimamizi wa tiba za michezo nzuri amejitoa haswa kwa kutafta wataalamu mbali kuja kutoa mafunzo kwa chama hiki ili uweredi uwe mwingi zaidi kwa maendeleo ya TASMA.
Chagua Dr. Matuzya nafasi ya Katibu Mkuu ili ainue TASMA na kuleta maendeleo zaidi sifa yake kubwa ni mcheshi na mpenda maendeleo ya michezo ukiacha ndani ya mpira ana mchango mkubwa kwa jamii kwa nafasi ambazo anazo hakika wana TASMA twende na Dr. Matuzya atuvushe tusonge mbele kwa maendeleo.
Dr. Matuzya ana sifa kubwa sana nchini kupigania masuala ya michezo na tiba za wachezaji kwa vilabu vyote kwa kuwa ni msimamizi wa tiba kwa wataalamu wote wa tiba za michezo wa kwenye vilabu vyote kwa kutoa elimu na kuhamasisha umoja wa vilabu kwa watoa tiba wote.
Wakati anaingia tasma kuna mambo yalikuwa mengi hayapo sawa amejitahidi kukutanisha wataalamu kuwa kitu kimoja na kuifanya sasa TASMA kujulikana nje na ndani ya Tanzania kwa usimamizi wa tiba za michezo nzuri amejitoa haswa kwa kutafta wataalamu mbali kuja kutoa mafunzo kwa chama hiki ili uweredi uwe mwingi zaidi kwa maendeleo ya TASMA.
Chagua Dr. Matuzya nafasi ya Katibu Mkuu ili ainue TASMA na kuleta maendeleo zaidi sifa yake kubwa ni mcheshi na mpenda maendeleo ya michezo ukiacha ndani ya mpira ana mchango mkubwa kwa jamii kwa nafasi ambazo anazo hakika wana TASMA twende na Dr. Matuzya atuvushe tusonge mbele kwa maendeleo.