Dr Nchimbi apongeza Kasi ya Uokoaji Kariakoo na kusema iongezwe zaidi, asema CCM iko tayari kutoa Msaada wowote utakaohitajika!

Dr Nchimbi apongeza Kasi ya Uokoaji Kariakoo na kusema iongezwe zaidi, asema CCM iko tayari kutoa Msaada wowote utakaohitajika!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Salaam za Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi:

1. Shukrani Kwa Wananchi kwani Wao ndio walikuwa wa kwanza kufika na kuanza Uokoaji

2. Shukrani Kwa Vyombo vyote vya uokozi vinavyoendelea na kazi ya uokozi

3. Shukrani Kwa Waziri Lukuvi Kwa kusimamia zoezi muda wote Bila kuchoka

4. Shukrani Kwa RC Chalamila ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi Kwa kazi kubwa

5. Shukrani Kwa Watendaji wote wanaendelea na Uokoaji

6. Shukrani Kwa Watanzania wote Kwa michango yao mbalimbali, Dua zao na Sala zao Ili Mungu wa mbinguni atufanyie Wepesi kwenye zoezi hili

Dr Nchimbi amesema Chama Kiko tayari kutoa msaada wa aina yoyote inayohitajika Ili kuipa Wepesi Serikali yake katika zoezi hili

Ahsanteni sana

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

===============
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Emmanuel Nchimbi amevishukuru vyombo mbalimbali vya uokozi Kariakoo kwa namna vilivyopambana kuhakikisha maisha ya Watanzania waliokwama chini baada ya ghorofa kuporomoka, yanaokolewa na ametaka kasi zaidi ya uokozi iendelee ili wale waliosalia watoke salama.

Dkt. Nchimbi ameyasema hayo leo November 17,2024 alipofika eneo la tukio Kariakoo na kutoa pole kwa Familia zilizopoteza Wapendwa wao na wale waliojeruhiwa na kuwaombea wapone haraka pia amewashukuru Watanzania walioanza zoezi la uokozi baada ya maafa kutokea na ameipongeza Serikali ya CCM na timu mbalimbali zinazoendelea kuchukua hatua mbalimbali za uokoaji.

Credit: Ayo TV

Huyu ndio Kiongozi 🐼
 
Salaam za Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi:

1. Shukrani Kwa Wananchi kwani Wao ndio walikuwa wa kwanza kufika na kuanza Uokoaji

2. Shukrani Kwa Vyombo vyote vya uokozi vinavyoendelea na kazi ya uokozi

3. Shukrani Kwa Waziri Lukuvi Kwa kusimamia zoezi muda wote Bila kuchoka

4. Shukrani Kwa RC Chalamila ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi Kwa kazi kubwa

5. Shukrani Kwa Watendaji wote wanaendelea na Uokoaji

6. Shukrani Kwa Watanzania wote Kwa michango yao mbalimbali, Dua zao na Sala zao Ili Mungu wa mbinguni atufanyie Wepesi kwenye zoezi hili

Dr Nchimbi amesema Chama Kiko tayari kutoa msaada wa aina yoyote inayohitajika Ili kuipa Wepesi Serikali yake katika zoezi hili

Ahsanteni sana

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

===============
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Emmanuel Nchimbi amevishukuru vyombo mbalimbali vya uokozi Kariakoo kwa namna vilivyopambana kuhakikisha maisha ya Watanzania waliokwama chini baada ya ghorofa kuporomoka, yanaokolewa na ametaka kasi zaidi ya uokozi iendelee ili wale waliosalia watoke salama.

Dkt. Nchimbi ameyasema hayo leo November 17,2024 alipofika eneo la tukio Kariakoo na kutoa pole kwa Familia zilizopoteza Wapendwa wao na wale waliojeruhiwa na kuwaombea wapone haraka pia amewashukuru Watanzania walioanza zoezi la uokozi baada ya maafa kutokea na ameipongeza Serikali ya CCM na timu mbalimbali zinazoendelea kuchukua hatua mbalimbali za uokoaji.

Credit: Ayo TV

Huyu ndio Kiongozi 🐼
🙋‍♂️👏👏👏🤝🙏
 
IMG-20241117-WA0150.jpg
IMG-20241117-WA0139.jpg
 
Salaam za Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi:

1. Shukrani Kwa Wananchi kwani Wao ndio walikuwa wa kwanza kufika na kuanza Uokoaji

2. Shukrani Kwa Vyombo vyote vya uokozi vinavyoendelea na kazi ya uokozi

3. Shukrani Kwa Waziri Lukuvi Kwa kusimamia zoezi muda wote Bila kuchoka

4. Shukrani Kwa RC Chalamila ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi Kwa kazi kubwa

5. Shukrani Kwa Watendaji wote wanaendelea na Uokoaji

6. Shukrani Kwa Watanzania wote Kwa michango yao mbalimbali, Dua zao na Sala zao Ili Mungu wa mbinguni atufanyie Wepesi kwenye zoezi hili

Dr Nchimbi amesema Chama Kiko tayari kutoa msaada wa aina yoyote inayohitajika Ili kuipa Wepesi Serikali yake katika zoezi hili

Ahsanteni sana

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

===============
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Emmanuel Nchimbi amevishukuru vyombo mbalimbali vya uokozi Kariakoo kwa namna vilivyopambana kuhakikisha maisha ya Watanzania waliokwama chini baada ya ghorofa kuporomoka, yanaokolewa na ametaka kasi zaidi ya uokozi iendelee ili wale waliosalia watoke salama.

Dkt. Nchimbi ameyasema hayo leo November 17,2024 alipofika eneo la tukio Kariakoo na kutoa pole kwa Familia zilizopoteza Wapendwa wao na wale waliojeruhiwa na kuwaombea wapone haraka pia amewashukuru Watanzania walioanza zoezi la uokozi baada ya maafa kutokea na ameipongeza Serikali ya CCM na timu mbalimbali zinazoendelea kuchukua hatua mbalimbali za uokoaji.

Credit: Ayo TV

Huyu ndio Kiongozi 🐼
Hii safari ilikuwa na umuhimu kuliko uhai wa watanganyika?
Kw
 

Attachments

  • IMG-20241116-WA0046.jpg
    IMG-20241116-WA0046.jpg
    226.5 KB · Views: 3
Salaam za Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi:

1. Shukrani Kwa Wananchi kwani Wao ndio walikuwa wa kwanza kufika na kuanza Uokoaji

2. Shukrani Kwa Vyombo vyote vya uokozi vinavyoendelea na kazi ya uokozi

3. Shukrani Kwa Waziri Lukuvi Kwa kusimamia zoezi muda wote Bila kuchoka

4. Shukrani Kwa RC Chalamila ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi Kwa kazi kubwa

5. Shukrani Kwa Watendaji wote wanaendelea na Uokoaji

6. Shukrani Kwa Watanzania wote Kwa michango yao mbalimbali, Dua zao na Sala zao Ili Mungu wa mbinguni atufanyie Wepesi kwenye zoezi hili

Dr Nchimbi amesema Chama Kiko tayari kutoa msaada wa aina yoyote inayohitajika Ili kuipa Wepesi Serikali yake katika zoezi hili

Ahsanteni sana

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

===============
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Emmanuel Nchimbi amevishukuru vyombo mbalimbali vya uokozi Kariakoo kwa namna vilivyopambana kuhakikisha maisha ya Watanzania waliokwama chini baada ya ghorofa kuporomoka, yanaokolewa na ametaka kasi zaidi ya uokozi iendelee ili wale waliosalia watoke salama.

Dkt. Nchimbi ameyasema hayo leo November 17,2024 alipofika eneo la tukio Kariakoo na kutoa pole kwa Familia zilizopoteza Wapendwa wao na wale waliojeruhiwa na kuwaombea wapone haraka pia amewashukuru Watanzania walioanza zoezi la uokozi baada ya maafa kutokea na ameipongeza Serikali ya CCM na timu mbalimbali zinazoendelea kuchukua hatua mbalimbali za uokoaji.

Credit: Ayo TV

Huyu ndio Kiongozi 🐼
Chama Tawala na viongozi wa mioyo ya waTanzania, wanatia moyo sana wahanga kwa faraja ya maneno na matendo.

Asanti Chama Cha Mapinduzi 🐒
 
Salaam za Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi:

1. Shukrani Kwa Wananchi kwani Wao ndio walikuwa wa kwanza kufika na kuanza Uokoaji

2. Shukrani Kwa Vyombo vyote vya uokozi vinavyoendelea na kazi ya uokozi

3. Shukrani Kwa Waziri Lukuvi Kwa kusimamia zoezi muda wote Bila kuchoka

4. Shukrani Kwa RC Chalamila ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi Kwa kazi kubwa

5. Shukrani Kwa Watendaji wote wanaendelea na Uokoaji

6. Shukrani Kwa Watanzania wote Kwa michango yao mbalimbali, Dua zao na Sala zao Ili Mungu wa mbinguni atufanyie Wepesi kwenye zoezi hili

Dr Nchimbi amesema Chama Kiko tayari kutoa msaada wa aina yoyote inayohitajika Ili kuipa Wepesi Serikali yake katika zoezi hili

Ahsanteni sana

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

===============
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Emmanuel Nchimbi amevishukuru vyombo mbalimbali vya uokozi Kariakoo kwa namna vilivyopambana kuhakikisha maisha ya Watanzania waliokwama chini baada ya ghorofa kuporomoka, yanaokolewa na ametaka kasi zaidi ya uokozi iendelee ili wale waliosalia watoke salama.

Dkt. Nchimbi ameyasema hayo leo November 17,2024 alipofika eneo la tukio Kariakoo na kutoa pole kwa Familia zilizopoteza Wapendwa wao na wale waliojeruhiwa na kuwaombea wapone haraka pia amewashukuru Watanzania walioanza zoezi la uokozi baada ya maafa kutokea na ameipongeza Serikali ya CCM na timu mbalimbali zinazoendelea kuchukua hatua mbalimbali za uokoaji.

Credit: Ayo TV

Huyu ndio Kiongozi 🐼
Inamana hadi sasa hao watu hawajui kwamba msaada unahitajika wa namna gani
 
Salaam za Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi:

1. Shukrani Kwa Wananchi kwani Wao ndio walikuwa wa kwanza kufika na kuanza Uokoaji

2. Shukrani Kwa Vyombo vyote vya uokozi vinavyoendelea na kazi ya uokozi

3. Shukrani Kwa Waziri Lukuvi Kwa kusimamia zoezi muda wote Bila kuchoka

4. Shukrani Kwa RC Chalamila ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi Kwa kazi kubwa

5. Shukrani Kwa Watendaji wote wanaendelea na Uokoaji

6. Shukrani Kwa Watanzania wote Kwa michango yao mbalimbali, Dua zao na Sala zao Ili Mungu wa mbinguni atufanyie Wepesi kwenye zoezi hili

Dr Nchimbi amesema Chama Kiko tayari kutoa msaada wa aina yoyote inayohitajika Ili kuipa Wepesi Serikali yake katika zoezi hili

Ahsanteni sana

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

===============
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Emmanuel Nchimbi amevishukuru vyombo mbalimbali vya uokozi Kariakoo kwa namna vilivyopambana kuhakikisha maisha ya Watanzania waliokwama chini baada ya ghorofa kuporomoka, yanaokolewa na ametaka kasi zaidi ya uokozi iendelee ili wale waliosalia watoke salama.

Dkt. Nchimbi ameyasema hayo leo November 17,2024 alipofika eneo la tukio Kariakoo na kutoa pole kwa Familia zilizopoteza Wapendwa wao na wale waliojeruhiwa na kuwaombea wapone haraka pia amewashukuru Watanzania walioanza zoezi la uokozi baada ya maafa kutokea na ameipongeza Serikali ya CCM na timu mbalimbali zinazoendelea kuchukua hatua mbalimbali za uokoaji.

Credit: Ayo TV

Huyu ndio Kiongozi 🐼
Hao ndio viongozi wa CCM
 
Back
Top Bottom