johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Salaam za Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi:
1. Shukrani Kwa Wananchi kwani Wao ndio walikuwa wa kwanza kufika na kuanza Uokoaji
2. Shukrani Kwa Vyombo vyote vya uokozi vinavyoendelea na kazi ya uokozi
3. Shukrani Kwa Waziri Lukuvi Kwa kusimamia zoezi muda wote Bila kuchoka
4. Shukrani Kwa RC Chalamila ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi Kwa kazi kubwa
5. Shukrani Kwa Watendaji wote wanaendelea na Uokoaji
6. Shukrani Kwa Watanzania wote Kwa michango yao mbalimbali, Dua zao na Sala zao Ili Mungu wa mbinguni atufanyie Wepesi kwenye zoezi hili
Dr Nchimbi amesema Chama Kiko tayari kutoa msaada wa aina yoyote inayohitajika Ili kuipa Wepesi Serikali yake katika zoezi hili
Ahsanteni sana
Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
===============
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Emmanuel Nchimbi amevishukuru vyombo mbalimbali vya uokozi Kariakoo kwa namna vilivyopambana kuhakikisha maisha ya Watanzania waliokwama chini baada ya ghorofa kuporomoka, yanaokolewa na ametaka kasi zaidi ya uokozi iendelee ili wale waliosalia watoke salama.
Dkt. Nchimbi ameyasema hayo leo November 17,2024 alipofika eneo la tukio Kariakoo na kutoa pole kwa Familia zilizopoteza Wapendwa wao na wale waliojeruhiwa na kuwaombea wapone haraka pia amewashukuru Watanzania walioanza zoezi la uokozi baada ya maafa kutokea na ameipongeza Serikali ya CCM na timu mbalimbali zinazoendelea kuchukua hatua mbalimbali za uokoaji.
Credit: Ayo TV
Huyu ndio Kiongozi 🐼
1. Shukrani Kwa Wananchi kwani Wao ndio walikuwa wa kwanza kufika na kuanza Uokoaji
2. Shukrani Kwa Vyombo vyote vya uokozi vinavyoendelea na kazi ya uokozi
3. Shukrani Kwa Waziri Lukuvi Kwa kusimamia zoezi muda wote Bila kuchoka
4. Shukrani Kwa RC Chalamila ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi Kwa kazi kubwa
5. Shukrani Kwa Watendaji wote wanaendelea na Uokoaji
6. Shukrani Kwa Watanzania wote Kwa michango yao mbalimbali, Dua zao na Sala zao Ili Mungu wa mbinguni atufanyie Wepesi kwenye zoezi hili
Dr Nchimbi amesema Chama Kiko tayari kutoa msaada wa aina yoyote inayohitajika Ili kuipa Wepesi Serikali yake katika zoezi hili
Ahsanteni sana
Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
===============
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Emmanuel Nchimbi amevishukuru vyombo mbalimbali vya uokozi Kariakoo kwa namna vilivyopambana kuhakikisha maisha ya Watanzania waliokwama chini baada ya ghorofa kuporomoka, yanaokolewa na ametaka kasi zaidi ya uokozi iendelee ili wale waliosalia watoke salama.
Dkt. Nchimbi ameyasema hayo leo November 17,2024 alipofika eneo la tukio Kariakoo na kutoa pole kwa Familia zilizopoteza Wapendwa wao na wale waliojeruhiwa na kuwaombea wapone haraka pia amewashukuru Watanzania walioanza zoezi la uokozi baada ya maafa kutokea na ameipongeza Serikali ya CCM na timu mbalimbali zinazoendelea kuchukua hatua mbalimbali za uokoaji.
Credit: Ayo TV
Huyu ndio Kiongozi 🐼