johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa Mara ya kwanza tangu mfumo wa Vyama Vingi uanze Mgombea Mwenza wa kupigiwa Kura za Wananchi atatoka Tanganyika
Makamu wa Rais wa Sasa Dr Mpango aliteuliwa na kuthibitishwa na Bunge
Dr Nchimbi amekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Taifa hivyo Tanzania nzima inamfahamu
Dr Nchimbi amekuwa Mbunge hivyo anajulikana na Taasisi zote
Dr Nchimbi amekuwa Waziri wa Mambo ya ndani hivyo anajulikana Kote Kote
Dr Nchimbi amekuwa Balozi hivyo Dunia yote inamjua
Dr Nchimbi ni Katibu mkuu wa CCM hivyo Wanasiasa wote wanamjua
Dr Nchimbi amezuru Vatican na kukutana na baba Mtakatifu Papa Francisco aketiye kitini pake Mtume Petro na kupata Baraka zake hivyo Kanisa Moja Takatifu la Mitume duniani kote linamjua
Itakuwa na manufaa makubwa Kwa Taifa kuwepo kwake Kwenye Safu ya Uongozi wa juu
Dominica NJEMA 🌹
Makamu wa Rais wa Sasa Dr Mpango aliteuliwa na kuthibitishwa na Bunge
Dr Nchimbi amekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Taifa hivyo Tanzania nzima inamfahamu
Dr Nchimbi amekuwa Mbunge hivyo anajulikana na Taasisi zote
Dr Nchimbi amekuwa Waziri wa Mambo ya ndani hivyo anajulikana Kote Kote
Dr Nchimbi amekuwa Balozi hivyo Dunia yote inamjua
Dr Nchimbi ni Katibu mkuu wa CCM hivyo Wanasiasa wote wanamjua
Dr Nchimbi amezuru Vatican na kukutana na baba Mtakatifu Papa Francisco aketiye kitini pake Mtume Petro na kupata Baraka zake hivyo Kanisa Moja Takatifu la Mitume duniani kote linamjua
Itakuwa na manufaa makubwa Kwa Taifa kuwepo kwake Kwenye Safu ya Uongozi wa juu
Dominica NJEMA 🌹