Dr. Ndalichako gombea Uraisi 2015

Dr. Ndalichako gombea Uraisi 2015

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
Napenda kumshauri Dr. Ndalichako wa NECTA agombee uraisi kupitia chama atakachopenda yeye 2015 maana kwa muda mfupi aliokaa NECTA ameondoa mtandao wa wauza mitihani na kuwashikisha adabu wanafunzi wanaotegemea pepa za kuiba toka NECTA. Sasa huyu ndo tunafaa tumpe urais anyooshe kina MWI-GU-LUA na kina KINANDA. Kwi kwi kwi!!!
 
Back
Top Bottom