Dr. Ndalichako joyce- necta

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Dr. Ndalichako, ona sasa mtoto wa watu bado anaandamwa. Kumbe wanafuatilia Form five kaenda wapi, KISA ni kutoa matokeo ya mitihani kwa kutumia majina ya watoto wetu, badili mfumo weka namba za watahiniwa na si kwa vile anayeandamwa ni mtoto wa mkubwa, la hasha, natural justice dictates that!!!!. Matokeo ya mitihani ni personal and not public privilege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…