Dr. Ndalichako na waandishi wetu wa habari


Asante sana Mkuu kwa kutuletea hivyo vielelezo. Kweli Dr. Ndalichako anaonekana ni tishio sana na inaonekana wapo hata viongozi wa juu ambao hawapati usingizi kwa sababu yake. Nchi hii haitaki wachapakazi hata kidogo
 
Wadau haya mamo i ya hatari sana. Hivi intelijensia haijui hayo yanayoendelea an liwalo na liwe?
 
Tungekuwa na wengine watatu kama wewe, walau Tanzania tungeanza kujiita developing country!
 
tatizo la nchi hii ukiwa mtendaji mzuri maadui wanakua wengi kila kukicha. binafsi namkubali sana yule mama ni muwazi na ni mchapa kazi pia ni mzalendo mwenye lengo la kuleta mabadiliko kwnye elimu nadhan muda umefka wa kumpa wizara
Umenena vyema mkuu.
 
Hadi kufikia 2015 tutamalizana sana haya mambo ya ubaguzi wa udini yameshika kasi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…