poleni wote, dah hata mie aliwahi kunifundisha, alikuwa anachekesha sana, na marehemu alipenda sana kuyataja ma**. R.I.P Dr. Wa Ukweli sio wa kupewa kama ...........
Nimepata taarifa kuwa aliyekuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam,dr ndibalema amefariki jana usiku,dr ndibalema alikua akifundisha EDUCATION ADMINISTRATION AND MANAGEMENT (EA), Pia alikua akifundisha chuo kikuu kishiriki cha ualim-DUCE