kweli babu kaleta mapinduzi kwenye secta ya dawa za asili inauma sana dr ndodi wanachofanya mitishamba hii hii imezagaa kila pembe lakini hiyo bei anazochaji du ni balaa ataakigawa bure mwaka aitoshi kurudisha garama alizo tuchuna kwa miaka kibao.
ila tusimlaumu sana tujilau wenyewe kwa kuangamizwa kwa kukosa kutafuta maarifa. heko babu