Habar Wakuu!!
Mimi Ni Mhitim Wa Kidato Cha Sita Mwaka 2014,na Kupata Ufaulu Wa Div Three Ya Point 13.
Ph D,che C,bio C
Na Ndoto Zangu N Kusoma Kozi Tajwa Apo Juu.
Naomba Ushaur:ni Vyuo Gan Ambavyo Havina Ushindan Kabisa Na Ambavyo N Kivijaza Nita Fanikiwa..!!
Kindly Ligard Wasalaam..................
jamen , mimi na point 10, physics -C, chrmistry -B na biology -B ..... mwaka jana comptition ili ni knock aout saiv .....ntapataje io pharmacy wandugu... au medicine
Ndugu wote mnaoomba kujiendeleza na Fani za Afya na utabibu nadhani mngeanza na lugha kwanza.
Km bado unaandika Kindly Ligard badala ya Kindly Regards au unaandika (na comptition ili ni knock aout) wakuu mnaweza kuja kuua wagonjwa!
Improve your English first fellas before trying to obtain or pursuing Doctorates.
sawa kaka , yani matumizi ya lugha tu kwakeli .wala amna tatizo
nita improve
Nakutakia mafanikio mema.
Usikate tamaa.
asante kunitia moyo kaka, may HEAVEN GOD bless you..
I'm glad you rectified your mistakes.
You too my good friend.
Jaribu kutembelea Web hii. Ikiwa pass marks zako nzuri unaweza kuomba Scholarship ikiwa Mungu kakuandikia Unaweza kupata.
Professional Doctorate in Pharmacy (DPharm) - University of Birmingham
Napenda vijana wenye kiu ya Elimu. Taifa linahitaji watu km nyie.
All the best.
Kwani siku hizi points zinagawajwe Jamani? Enzi zetu hapo una point 7.Omba vyuo visivyo na ushindani.Acha kuamini kila daktari alisoma muhimbili au kcmc,ikishindikana sana tafuta udhamini usome nje.All the best.jamen , mimi na point 10, physics -C, chrmistry -B na biology -B ..... mwaka jana comptition ili ni knock out saiv .....ntapataje io pharmacy wandugu... au medicine
asante , kwa ushauri mzuri kaka ndio nawasubiri tcu wafungue maombi nitume mapema.Kwani siku hizi points zinagawajwe Jamani? Enzi zetu hapo una point 7.Omba vyuo visivyo na ushindani.Acha kuamini kila daktari alisoma muhimbili au kcmc,ikishindikana sana tafuta udhamini usome nje.All the best.