Dr.Remmy Kuzikwa Kitaifa!

Ndallo

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
7,619
Reaction score
4,299
Eti wakulu nimesikia kua Dr.Remmy Ongalla atazikwa kitaifa na kupigiwa mizinga 7 jamani hizi ni habari za kweli? Na mgeni rasmi atakua ni raisi wa Jamuhuri ya kidemokrasi ya kongo ndugu KABILA!
 
Hebu acha kuwatania wafiwa, watu wako kwenye maombolezo wewe unaleta kejeli
 
HAKIKA TUMEMPOTEZA ALIYEWAHI KUWA GWIJI LA MZIKI MIAKA HIYO: mf. Mziki wake wa "siku ya kufa",MWANZA," MOLEMA" NARUDI NYUMBANIE, HAKIKA ALIKUWA HODARI KTK FANI.
 
HAKIKA TUMEMPOTEZA ALIYEWAHI KUWA GWIJI LA MZIKI MIAKA HIYO: mf. Mziki wake wa "siku ya kufa",MWANZA," MOLEMA" NARUDI NYUMBANIE, HAKIKA ALIKUWA HODARI KTK FANI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…