Dr.Riwa anastahili pongezi sana katika hili jukwaa

Asante sana mimi pia nimefurahi ikiwa ushauri wangu umekusaidia ubarikiwe
 
Mungu akakuzidishie nguvu kwa kutumia kipawa chako kutoa msaada hapa J.F Dr. Riwa
 

Kwanza nakushauri roweka miguu yako kwenye Potatium permanganet (Ipo ya maji au ukipata ya cristals chukuwa chembe chache na uweke kenye maji) dakika kumi kila siku inafaa. Baada ya hapo ningekushauri uache miguu ikauke kwa upepo usijifute kwa taulo au kitaambaa chechote. Kuna dawa inaitwa BIFONAZOLE (solution ama cream) ukiipata itasaidia.
Ikimwona Dk atakuandikia systemic antifungal (kama fluconazole) kukusaidia baada ya kutumia ile dawa ya kupaka
 
Habari ya kazi Daktari, hongera kwa kazi nzuri unayoifanya ya kutushirikisha na kutusaidia kupita taaluma ulinayo.

Kwa leo ningependa kupata msaada wako juu ya tatizo ambalo nimekuwa nalo kwa muda mrefu sasa,huwa nina maumivu makali sana ya mgongo ambayo nimejaribu kuyatibu mara kwa mara bila mafanikio. Huwa napata maumivu ya mara kwa mara kama vile ni crack kwenye uti wa mgongo. Je,hili linaweza kuwa ni tatizo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…