brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
hapa sija kuelewa , anaetafuta kiki nani mimi au unamsemea huyo daktari,??Anatafuta kick boya huyo..
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji9] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji13] tungo tatahapa sija kuelewa , anaetafuta kiki nani mimi au unamsemea huyo daktari,??
Tena laana ya mungu na watu wote imfikie huku alikoHuyo inatakiwa anyongwe mchana
Acha kubisha vitu ambavyo huvijui , we K*** nn??Uongo mtupu..Nahisi mleta uzi na huyo daktar mnatafta "kick"
mm nilishakupa mpaka source ya habari af bado unabisha, aaarghUongo mtupu..Nahisi mleta uzi na huyo daktar mnatafta "kick"
Ndio wamepungua.Kumbuka hii ni njia moja tu ya depopulation kwa ajili kileKwa iyo mpaka sasa wameshapungua ??
Uliza tu nitajaribu kukujibu kadri ya uwezo wangu nikiteleza mahali wengine wapo watasaidia kutoa majibu sahihi zaidiNatamani kukuuliza swali mtoa posti ila hutaniridhisha na majibu yako