StraTon MemPhis GhaZar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 592
- 387
Hawa ndio wakuitwa magaidi,kwa maana wanauwa mamilioni ya watu.Kwa nini wanasayansi wauwaji hawaiti magaidi?nilichoka siku nachoma sindano zaidi ya mara kumi siponi,,kuuliza doctor anasema dawa anayotumia imechangwa sana ikapungua nguvu,,yaani dawa original imeongezewa maji zaidi ili waweze kuuza kwa wingi na mgonjwa ainunue kwa mara nyingi zaidi kujitibu,,,akasema ngoja kutafute dawa hii kwa upande wa Kenya ndo itatibu haraka zaidi au tuitafute kwenye MSD itakuwa haijadailutiwa sana,,,,,nilichoka nikarud home kuomba mungu wangu naemwamini aniponye kwa imani yangu,,,,dunia ya leo ni bora wanyama hata wanauruma,,,makampuni ya dawa ndo yenye fedha nyingi sana na wanatengeneza virusi na tiba yake halafu wanasambaza virusi so wao ndo watakua na dawa ya hizo virusi,,,,so money in,,,sio kila kitu kisemwacho ni waongo,turudie njia zetu za kujitibu kwa majani ya mpera ukiumwa tumbo na mengineyo,,hizi dawa ni kama madawa ukinywa nao lazma uwe unakunywa kila mara,,,,Yehova utulinde sisi maskini
Swali lako ni la MSINGI sana mkuu..,Ni kweli kabisa wazungu wamefanya na wanaendelea kufanya mambo mabaya sana against waafrika..Lakini huwana nakaa mwenyewe najiuliza,Sisi kama waafrica tumafanya nini baada ya kugundua kwa mzungu sio Rafiki mzuri kwetu,Ni juhudi gani tumezichukua kama afrika kupambana na huu udhalimu wa wazungu?..Baadae nikagundua we are doing NOTHING.Huwa tunaletewa mada nzuri sana humu JF kuhusiana historia ya mafanikio ya race ya waafrika huko zamani kwamba africans ndio waanzilishi wa civilization katika Dunia hii..Lakin baadae najiuliza tulipotelea wapi hasa?..Sitaki kuamini kwamba uwezo na akili za watu zinaweza kuibiwa na race nyingine..Kama ni kweli waafrika tulikuwa na akili sana zamani,Kwanini tumegeuka kuwa race yenye matatizo sana,Na kwanini tusifanye mikakati yoyote kujikwamua hapa tulipo?..Kama ni uhuru tunao wa kufanya chochote coz ukoloni ulishaisha zamani?..Okey labda mtu atasema kuna Neo-colonialism,But kama tumeshajua kuna aina nyingine ya ukoloni,ni kwa nini tusifanye hata juhudi kupingana na huu ukoloni mpya ambao tumeshaujua na tuna angalau ka uhutu flani ka kujiamulia mambo tofauti na zamani?...Yaani kina maswali mengi sana ya kujadili kuhusu sisi waafrica kuliko kuwapa lawama wazungu...Tungekubali kwanza kuwa sisi tuna tatizo then tukaanza kujadili measures za kuchukua ili kujikwamua hapa tulipo ingekwa rahisi sana kukwepa hizi hujma za wazungu tunazolia nazo kila kukicha...Yaani nimeona karibu kila mmoja analia na hawa wazungu tangu walipotutawala na sasa ni miaka 50 kama si 60 tangu wameondoka!
Sisi waafrika tumefanya nini kujilinda wenyewe kujiimarisha kiuchumi, kijamii, kitamaduni na kisayansi?
Kwanini tumekuwa watu wa kuonewa na kulialia tu kwa kuletewa magonjwa, vita, njaa ?
Shida iko wapi? Tuna tatizo lipi?
Kwanini tuko dhaifu kiasi hiki?
Japokuwa sijapenda hilo neno ulilotumea"Cursed"...Ila siwezi kupuuza maneno yako mengine..Kiukweli kabisa tuna maswali mengi sana ya kujiuliza na kujijibu sisi kama Waafrica kuliko kuwalaumu wazungu kwa kila kitu...We are cursed, thus wy our colour is also dark, embu niambie black amegundua nini toka kuumbwa kwa dunia, instead of kucheza ngoma tuu
Kaka naomba nikuweke sawa.Hakuna binadamu anayeweza kutengeneza ugonjwa na hakutokea wala hatotokea hilo jambo la kwanza.Nilichokielewa mimi kuhusu ukimwi ni ule ubabatizaji wa kimaelezo kwa hao wazandiki juu ya ukimwi.tukiwaambia dunia inaendeshwa na watu wachache wenye agenda sa siri kwa wanadamu,mnabisha.nilisoma siku nyingi sana kuwa AIDS is a man made disease.it's not a curse to sick from HIV virus, because that was not God's plan.ni mpango wa binadamu wachache wenye nguvu wanaoitawala dunia hii na walio karibu na fallen angels, kutaka wewe au mimi ufe kwa maumbikizi ya ukimwi.STUKA!.
Katika kauli ambazo huwa sipendi kuziona au kuzisikiliza ni hizi za kusema ugonjwa fulani umetengenezwa maabara au virusi vimetengenezwa maabara,sijawahi kuamini hilo wala wanasayansi wenyewe hawawezi kulithibitisha hilo.Ninachokiamini mimi ni ule mchezo mchafu wa kuyaelezea magonjwa hayo,hapo ndio kuna sanaa za ulaghai hufanyika...Nchi nyingi zilizoendelea zina research institutes zilizo chini ya mashirika ya kijasusi....
Kwa mujibu wa machapisho kadhaa, mbali na ukimwi, ebola ni moja ya maradhi alotengenezwa kwenye maabara.
Nilipata kusoma mahali "BOSS" shirika la kijasusi la makaburu wa SA wnalijaribu kutengeneza virus vyenye uwezo wa kuathiri non white race....hasa weusi.
Kwa takwimu Afrika kusini mwa sahara (SSA) tunaongoza kwa kuzaliana hata baada ya ukimwi kuwepo.
Nimeenda huko mkuu nimerudi na vitu adimu sana kichwani ambapo hapo awali sikuwa navyo na hasa somo HIV/aids...wazungu ni hatari sana[emoji36] [emoji36]Si yeye aliyetengeneza 'virusi' vya HIV Bali alikuja na hiyo nadharia ya HIV kuwa inasababisha ukimwi. Ukitaka kujua nani alitengeneza hao virusi na lea sababu zipi, na je kweli ukimwi unasbabishwa na HIV pitia hii posti Napa.
salim msangi: UKIMWI NA EBOLA NI SILAHA ZA MAANGAMIZI
Sawa mkuuUmeipenda hii Thread Mkuu? Ninatibu mimi Ukimwi ukinihitaji nitafute kwa
Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Dunia ipi??,, Sisi huku mavumbini ndio tunaogopa huo ugonjwa,, sehemu nyingine maisha yanaendelea kama kawaida tu,,, "kama mafua tu"Abarikiwe maana dunia sasa hivi ingekuwa zaidi ya sodoma na gomora. God bless this man.
Tunajitahidi,, ila inahitaji muda,,, miaka hamsini/60 ya kuwa taifa ni michache sana kutufanya tumalize kila kitu,, ila hata wewe unajua afrika ya miaka ya uhuru siyo hii ya leo, vitu vingi vinafanyika, hata uelewa wa watu unakuwa pia,, miaka ile ya 80 haikuwa rahisi kuwa hata na hichi tunachokifahamu kuhusu huu ugonjwa,, ila miaka kadhaa imepita, watu wanaanza ku "question", hizi nadharia zatufikiazo kutoka huko uzunguni,, huwezi linganisha Tanzania yenye miaka hamsini na kitu ya uhuru na nchi kama uingereza yenye miaka zaidi ya elfu,,,,Yaani nimeona karibu kila mmoja analia na hawa wazungu tangu walipotutawala na sasa ni miaka 50 kama si 60 tangu wameondoka!
Sisi waafrika tumefanya nini kujilinda wenyewe kujiimarisha kiuchumi, kijamii, kitamaduni na kisayansi?
Kwanini tumekuwa watu wa kuonewa na kulialia tu kwa kuletewa magonjwa, vita, njaa ?
Shida iko wapi? Tuna tatizo lipi?
Kwanini tuko dhaifu kiasi hiki?