1) Kituo Cha Bwawani-Unguja
Maalaim seif CUF 593
Dr Shein CCM 141
Jimbo la Chake Chake-Pemba
Kituo cha Michakaini
Maalim Seif CUF 956
Dr. Shein CCM 246.
Kituo cha Ngwachani
Maalim CUF 623,
Shein CCM 132.
Wadi ya vikokotoni
Maalim Seif CUF 204
Dr Shein CCM 96
Ziwani -Pemba *
Maalim Seif CUF 1080
Dr Shein CCM 60
Malindi - Unguja
Maalim Seif CUF 104
Dr Shein CCM 28
Hizo za urais wa zanzibar muungano slaa anaongoza si mliona alijaza watu pale unguja?Napata shida kuamini, kama Tomaso vile? Anyway MWIBA, Ndo kusema vyama vingine 0?
1) Kituo Cha Bwawani-Unguja
Maalaim seif CUF 593
Dr Shein CCM 141
Jimbo la Chake Chake-Pemba
Kituo cha Michakaini
Maalim Seif CUF 956
Dr. Shein CCM 246.
Kituo cha Ngwachani
Maalim CUF 623,
Shein CCM 132.
Wadi ya vikokotoni
Maalim Seif CUF 204
Dr Shein CCM 96
Ziwani -Pemba *
Maalim Seif CUF 1080
Dr Shein CCM 60
Malindi - Unguja
Maalim Seif CUF 104
Dr Shein CCM 28
duh!
Kuna wizi mkubwa umegundulika na huenda uchaguzi ukaingia dosari kubwa.na inasemekana umefanyika kwa Tz nzima vipi na kwa njia gani bado ni mtihani.
Zanzibar matangazo yamesimamishwa na hakuna ruhusa kwa chombo kutangaza kama ilivyokuwa hapo kabla kuna jamaa wa cable tv walikuwa wakirusha live kila yanapotiwa sahihi ,baada ya kutokea mgomo kwa ccm kusaini ndipo matatizo yalipoanza na taa kuzimwa baadhi ya sehemu za mashamba kama bububu ,inasemekana sasa hivi ccm wana attack ya kuiba kura na kutangaza uwongo.
Shein hana hamu yuko Dar, kakimbia aibu Zanzibar.